Mugabe aomba msaada wa dola bilioni moja za Marekani

Mugabe aomba msaada wa dola bilioni moja za Marekani

Ukiwa tu outspoken kuongea hovyo hovyo na kutukana Marekani bila kufanya Kazi yeyote ya msingi waafrica wanakupenda. Leo hii JPM aanze kutukana Marekani kila muda hata asipofanya kitu kingine chochote atapata wafuasi zaidi. Kuiba akili za waafrika kazi rahisi sana
Viongozi wengi Afrika ni populists; hawana visions zaidi ya kutumia 'ujinga' wa wananchi wengi kufanya cosmetic politics kwa nia ya kuwafurahisha wananchi wasiofahamu hata haki zao za kiraia n.k.
 
Viongozi wengi Afrika ni populists; hawana visions zaidi ya kutumia 'ujinga' wa wananchi wengi kufanya cosmetic politics kwa nia ya kuwafurahisha wananchi wasiofahamu hata haki zao za kiraia n.k.
Miafrika ndivyo tulivyo
 
Maaamae kasanda kweuupe kabisa,embu mcheki uso ulivyomjaa....Utamu wa vikwazo muulizeni Iran,Cuba na Russia.
 
We tuambie kwanza source ya hii habari.... Huu umbea nao tushauchoka
 
Wanaomsifu Mugabe sijui huwa wanatumia kiungo gani kufikiri.
Na wanaowasifu wazungu je?
Mugabe ni MASKINI jeuri! Wazungu ni wanyonyaji sana na hawana adabu! Wakikupa dola 1, wanachukua kiujanja dola 3! Mugabe kuwanyang'anya wazungu ardhi waliyoipora ndio kiini cha chuki ya wazungu kwa Mugabe! Hapo Mugabe ana kosa gani?
 
Lazima asalimu Amri kwa hawa watu, mentality yao ni kubwa sana. Mbona kabla ya kuwatukana hakupata baa la njaa?
Wale wazungu walikuwa wanalima kwa akili. Walitumia boreholes, farm equipment kibao. Sasa Mugabe atuambie hiyo ardhi fertile aliyodai wamejichukulia si ndiyo hiyo baada ya kuchukua wao imekuwa kame!
 
rais jp ampelekee tan 1000 ya viwavi kutoka dodoma. ila tena watu wa dodoma watakufa na njaa. ukizingatia hata ct scan tumewachukulia ili wafe.
 
Kizee kimekalia matusi tuu kumbe watu wake msos ni shiiiiiida
 
Ukizeeka akili inarudi kuwa ya kitoto na unakuwa mwepesi kusah
 
Mugabe ni mpuuzi sana!,nchi yake ulikuwa imejaa asali na maziwa lkn kwa uchu wake wa madaraka kaisambaratisha vipandevipande nchi yake now anaomba msaada!,
 
Viongozi wengi Afrika ni populists; hawana visions zaidi ya kutumia 'ujinga' wa wananchi wengi kufanya cosmetic politics kwa nia ya kuwafurahisha wananchi wasiofahamu hata haki zao za kiraia n.k.
hili ni kweli kabisa mkuu, kuna mama mmoja Burundi alikua anahojiwa na BBC akasema anamkubali sana nkurunziza kwa kua alimuona akimsafisha mtoto wa masikini miguu, juzi Joseph kabila katoa magari ya dola 60,000 kwa wachezaji wake watu wamemshangilia sana wakati aneshindwa kufanya uchaguzi kisa hela hakuna, na umasikini uliojithiri
 
Mugabe ni mpuuzi sana!,nchi yake ulikuwa imejaa asali na maziwa lkn kwa uchu wake wa madaraka kaisambaratisha vipandevipande nchi yake now anaomba msaada!,
Zimbabwe ya miaka ya 90 ilikuwa juu sana nakumbuka hata sarafu yao Zimdollar ilikuwa na thamani kuliko Shilingi, sasa hivi wanatumia yuan ya china
 
Na wanaowasifu wazungu je?
Mugabe ni MASKINI jeuri! Wazungu ni wanyonyaji sana na hawana adabu! Wakikupa dola 1, wanachukua kiujanja dola 3! Mugabe kuwanyang'anya wazungu ardhi waliyoipora ndio kiini cha chuki ya wazungu kwa Mugabe! Hapo Mugabe ana kosa gani?
Sasa si ndo aitumie hiyo ardhi kuzalisha chakula?Yaani we unamnyang'anya mtu nyavu zako kisha unamfata akugawie samaki!
 
Mugabe anajidhalilisha tayar amejifananisha na waislamu ambao kila siku wanawatukana wakristo na kuwaita makafri lakn kila siku wanaomba misaada kwa wakristo wengne wanafia njian wakikimbilia kwenda kuishi kwa makafiri utadhan hawajaziona nchi za waislamu wenzao
 
Na hapa ndipo wazungu huwa wanatuona manyani totally.

Hii wahuni wanakwambia, hakuna mkate mkubwa mbele ya chai.
 
Kuna watu wana msifia sana mugabe humu!!
Jamaa ameiharibu Zimbabwe Kwa sababu ya uroho wa madaraka.
 
Hivi juzi juzi si ndio China alikuwepo huko Zimbabwe?
Mugabe akitaka nchi yake isonge mbele akubali Wazungu tu
 
Kwani Africa wenzie hawawezi mpa mpaka wazungu,yaan sisi kwa sisi hatuwezi saidiana
 
Kwani Africa wenzie hawawezi mpa mpaka wazungu,yaan sisi kwa sisi hatuwezi saidiana
 
Back
Top Bottom