real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,302
- Thread starter
- #61
hao wazungu mnaowalaumu kila kukicha waliwalazimisha kufanya mnachofanya? waliwatawala, then wameaachia nchi zenu, na mna hiari ya kushirikiana nao kwenye biashara au kama hamtaki basi mpo huruDuu pole yao aisee. We Africans are trapped in poverty, wachawi wetu ni nchi zilizoendelea.. Hawapendi tuendelee maana watakosa shemu ya kujipatia malighafi! Taifa kubwa halijawahi kupoteza hata siku moja, usione yanatolewa mabilioni ya dola ukadhani they are donated in vain!
Ghadafi alitaka kuandaa suluhisho la umasikini/utegemezi wa nchi za Kiafrika leo kwisha habari yake..
Mugabe jembe letu leo limesalimu amri, kweli ukitaka kuwa mbabe hakikisha umejitosheleza katika nyanja zote..
kuwalaumu wazungu kwenye kila tatizo la africa naona ni kukosa uelewa