real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,302
- Thread starter
- #41
duuuh, hapo sasa, ila kuwa makini usije anzisha vita kali kwenye huu uziMugabe anajidhalilisha tayar amejifananisha na waislamu ambao kila siku wanawatukana wakristo na kuwaita makafri lakn kila siku wanaomba misaada kwa wakristo wengne wanafia njian wakikimbilia kwenda kuishi kwa makafiri utadhan hawajaziona nchi za waislamu wenzao