Sijui kama ni kwa faida ya Zimbabwe au yake binafsi na wafuasi wake! Wengi tulitarajia baada ya matatizo yote haya Zimbabwe itatoka na mfumo utakaoihakikishia mshikamano na umoja. Lakini inaonekana bado itakuwa na migawanyiko.Huyu king'ang'anizi anatafuta kubaki katika habari kwa nguvu!
Sijui kama ni kwa faida ya Zimbabwe au yake binafsi na wafuasi wake! Wengi tulitarajia baada ya matatizo yote haya Zimbabwe itatoka na mfumo utakaoihakikishia mshikamano na umoja. Lakini inaonekana bado itakuwa na migawanyiko.
Tusubiri SADC itatoka na msimamo gani.Mzee anazidi kupoteza heshima na marafiki.From hero to zero.