johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,314
- 142,513
Mufti Abubakar Zuber amesema Bakwata siyo taasisi bali ni kongamano la waislamu wote nchini.
Bakwata haiwezi kufananishwa na taasisi yoyote kwa kuwa ndio yenye jukumu la kuwasemea waislamu wote zikiwemo taasisi za kiislamu.
Mufti Abubakar amewataka waislamu wote kuiheshimu Bakwata na kutii maagizo yake.
Source TBC
Bakwata haiwezi kufananishwa na taasisi yoyote kwa kuwa ndio yenye jukumu la kuwasemea waislamu wote zikiwemo taasisi za kiislamu.
Mufti Abubakar amewataka waislamu wote kuiheshimu Bakwata na kutii maagizo yake.
Source TBC