Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 332
Mufti wa Tanzania,Abubakary Zuberi amewatangazia waumini
wa dini ya Kiislam nchini Mwezi haujaandama, hivyo Waislam wakamilishe funga ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani kesho Jumatatu, hivyo sikukuu itakuwa keshokutwa Jumanne tarehe 03/05/2022.
Kwa hiyo kesho watu waendelee kupiga kazi.
wa dini ya Kiislam nchini Mwezi haujaandama, hivyo Waislam wakamilishe funga ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani kesho Jumatatu, hivyo sikukuu itakuwa keshokutwa Jumanne tarehe 03/05/2022.
Kwa hiyo kesho watu waendelee kupiga kazi.