Mbona Dawa Ndogo Sana kwa hili jambo!
Wape mahakama yao, 60% ya waislamu Tanzania watabadilisha dini.
Sasa Mufti ni msomi...
asante sana mkuu na hayo ndio maajabu ya viongozi wa dini zetu.sasa inamaana ccm wakirekkebisha hilo tu wapewe kura? swala dogo sana hilo kwa ccm kwa kuataka kura.kama wanaweza kutoa rushwa kupata kura watashindwa kuwapa pendekezo lao hili wapate kura?Mambo yote mengine ambayo sisi tunayapigia kelele hayawafanyi wao kuichukia CCM; yaani yote yaliyofanyika dhidi ya nchi yetu na utajiri wetu wao hayawagusi wala kuwataka waumini wao kuyafanya ya kisiasa na kuiadhibu CCM; yaani yote hayo hayajafikia kiwango cha kuwakera.. isipokuwa hili moja tu?
Mambo yote mengine ambayo sisi tunayapigia kelele hayawafanyi wao kuichukia CCM; yaani yote yaliyofanyika dhidi ya nchi yetu na utajiri wetu wao hayawagusi wala kuwataka waumini wao kuyafanya ya kisiasa na kuiadhibu CCM; yaani yote hayo hayajafikia kiwango cha kuwakera.. isipokuwa hili moja tu?
asante sana mkuu na hayo ndio maajabu ya viongozi wa dini zetu.sasa inamaana ccm wakirekkebisha hilo tu wapewe kura? swala dogo sana hilo kwa ccm kwa kuataka kura.kama wanaweza kutoa rushwa kupata kura watashindwa kuwapa pendekezo lao hili wapate kura?
Ngoma ndio inaanza kupigwa anayeweza aingie na acheze...suala hilo zito sana sana waangalie lisije likaleta machafuko na mpasuko...haya amani yetu tu tusije kuipoteza
.Mambo yote mengine ambayo sisi tunayapigia kelele hayawafanyi wao kuichukia CCM; yaani yote yaliyofanyika dhidi ya nchi yetu na utajiri wetu wao hayawagusi wala kuwataka waumini wao kuyafanya ya kisiasa na kuiadhibu CCM; yaani yote hayo hayajafikia kiwango cha kuwakera.. isipokuwa hili moja tu?
.Tangu lini maamuzi ya kesi mahakamani yakawa ni ibada?? Hii kali wakuu!!
.Ngoma ndio inaanza kupigwa anayeweza aingie na acheze...suala hilo zito sana sana waangalie lisije likaleta machafuko na mpasuko...haya amani yetu tu tusije kuipoteza
Tatizo si kuwa na mahakama tatizo ni kudhalilishwa na kuonewa waislamu. Mzee Mwanakijiji kuhusu alleged grand corruption cases ni still allegation hakuna substance wala proof katika hilo bali ni accusations tu.