Unahitaji kuelimishwa tuu bado hujafahamu vizuri mahakama ya kadhi ...soma zaidi kwanini nchi zingine zilianzisha unafikiri kulikuwa hakuna bakwata yao au balukta ...tafuta zaidi ufahamu kwanini?Hivi Bakwata au Chombo chchote kinacho ongoza Waislamu, kama baraza la kuendeleza Kuran, wakichagua wanazuoni wao na kuendesha Mahakama hizo za Kiislamu, hususan katika kutoa maamuzi ya ndoa, mirathi nk itakuwa haitoshi? mpaka mahakama hiyo ianzishwe na serikali? ili mradi wahusika wakuu wa hizo kesi wakubaliane kwamba ikiwa ndoa yangu itaingia mgogoro au mirathi yangu basi hatua ya kwanza ni balukta au bakwata. kwa mafano mimi ni mkristo itakapo tokea ya kutokea ni aidha niende mahakama za serikali au niende kwa paroko wangu, hiyo ndio au ndio njia nilizo nazo. period, sina haja ya kugombana na mtu, wa kugomba nami ni nafsi yangu.
Hakuna kulazimisha katika dini, mimi nimekuwa muislamu baada ya kuwa na akili yangu...kwahiyo ntashukuru kama mwana wa mungu atfahamu haki ...hoja hapa si wewe uwe dini gani? ila kwanini wewe mkristo ujisikie vibaya kwa jambo ambalo halikuhusu..wivu, uchoyo, siasa kali au nini? hapo ndio nashindwa kuwaelewa wakristo?Mkandara,
..unajua watu kama Tumain na Mwana wa Mungu ingefaa wapelekwe kwenye kambi la wakimbizi[gezaulole] wafungiwe huko kila mmoja ajaribu kumbadili mwenzake dini.
Kwahiyo Tanzania ni Nchi yenu siyo? unaota kwelikweli? you are wishing will never materialize na utakufa na chuki zako, zaidi nakuombea uendelee kuishi miaka mingi nakusikia uchungu jinsi waislamu wanavyopeta ikiwemo hii ya mahakama, na mengine mengi ambayo masikio yako hayataki kusikia (ishi miaka 110 mungu ajaalie) ili majungu yawe mengi.waende wakatafute nchi ya kwao binafsi. waende kule mafia. huyu mufti wao mwenyewe anayetisha ukimwangalia, duh, Mungu na amwondoshee mbali. muda wake naye uko karibu. asipookoka na kumfuata Bwana Yesu, siku zake zinahesabiwa. watu wanaomba sana apotelee mbali na kadhi zake, akahukumiwe nazo huko kuzimu. ameshindwa kwa Jina la Yesu.
Kitu kimoja ambacho nadhani ni vyema kikaeleweka ni kwamba, endapo serikali itakubaliana na matakwa ya Waislam kubadili katiba ili kuweza kuruhusu uanzishwaji wa Kadhi Mkuu (japokuwa haikatazi hilo - kama ni ibada), basi ni dhahiri kuwa kipengele hicho cha Katiba kitawahusu wananchi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hakuna uwezekano Katiba ikawa na vifungu vinavyohusu baadhi tu ya watu kwa kuzingatia dini yao na isihusu wengine wote. Kwa minajili hiyo, haiwezekani Katiba hiyo ikaundwa bila kuhusisha watu wote. Hii ni kwasababu;Katiba ya nchi ni kanuni ambazo jamii imejiwekea ili zifuatwe katika maisha yao ya kila siku. Kama suala ni kuingizwa kwenye katiba sioni ubaya ili mradi iwekwe wazi kuwa halazimishi mtu kwenye hilo. Mbona Hiyo BAKWATA Ilipoanzishwa wakati wa Nyerere maaskaofu hawakupinga?.
Halafu kama issue ni kuingizwa kwenye katiba, huoni kuwa kwa sheria hizohizo kuingizwa kwenye mahakama za kawaida zinakuwa tayari zimeingizwa kwenye katiba ( Sheria mama?). hoja yako bado imeelemea upande mmoja. Ndoa imefungishwa na Sheikh kwa sheria za dini yao ya kiislamu wewe hakimu Brown Christian unatumia sheria za dini isiyokuhusu kuhukumu wapi na wapi?. Huku ndiyo mwanzo wa kutafuta patashika. Kwa hili serikali imekosea inabidi watu waache idiology zao na kufanya kazi ya nchi sio maaskofu.
Tatizo si kuwa na mahakama tatizo ni kudhalilishwa na kuonewa waislamu. Mzee Mwanakijiji kuhusu alleged grand corruption cases ni still allegation hakuna substance wala proof katika hilo bali ni accusations tu.
Sasa Mufti ni msomi hawezi kukurupuka tu na kudai fulani ni fisadi pasina kuwa na vielelezo (kumbuka uislamu unataka mtu atuhumiwe kwa vielelezo na sio watu fulani wanamhisi kuwa yeye ni fisadi wengine ni chuki zao binafsi au hasidi zimewatala)
Tukija katika swala la Kadhi hii sio mahakama tu bali mfumo mzima wa maisha ya waislamu. Ni ajabu kama si kichekesho eti sharia za kiislamu ziweke katika mahakama ya circular. Utahukumu vipi kuhusu ndoa wewe hakimu ambaye hujui hata herufi zake zimeandikwaje huoni ni ajabu. Pili unahukumu eti katika tafsiri ya mtu. Kumbuka tafsiri ni mtu aonavyo yeye na sio watu wote waonavyo hivyo basi kuna hatari mahakama zikatawaliwa na mlongo mmoja. Na sio ndoa tu, utawala, ujirani na mengineo mengi je haya tufate kanisa linavyosema au uislamu unavyosema?
Kiufupi CCM naona imejitafutia kaa la moto la hili wamelipata. Waislamu wanakuwa kimya lakini linapotokea jambo kama hili huwa kitu kimoja. Dhambi ya ubaguzi wa dini ni mbaya na Tanzania itachafuka tukielekea huko ule kawaimbo wa amani utatoweka.
Usipandishe presha maalim,Mtanzania atabakia kuwa mTanzania awe muIslam au mKristo.Kwahiyo Tanzania ni Nchi yenu siyo? unaota kwelikweli? you are wishing will never materialize na utakufa na chuki zako, zaidi nakuombea uendelee kuishi miaka mingi nakusikia uchungu jinsi waislamu wanavyopeta ikiwemo hii ya mahakama, na mengine mengi ambayo masikio yako hayataki kusikia (ishi miaka 110 mungu ajaalie) ili majungu yawe mengi.
ndugu unaoneka na udhaifu wa busara na elimu ya kilimwengu. hizo mahkama za kadhi wanazo dai waislamu hata UK zipo na zemeuhusiwa kisheria kufanya kazi. mahakama hizo , hazihukumu wahalifu ( wezi, majambazi,waporaji na makosa kama hayo). kazi yake ni kuangalia haki za kiislamu kwa wailsamu. katika masula ya ndoa , na urithi na mabo kama hayo. wakristo hawaoi mke zaidi ya mmoja. waislamu wanaruhusiwa kuoa mpaka wa nne. kwa hiyo kunakua na matatizo mengi ambayo sheria ya mahkama ya kawaida inakua tabu kuweka haki sawa.Nao wakristo waungane kuanzisha "mahakama zao kiroho ndani ya katiba"?Nchi hii itakuwaje?anyway siwalaumu ndugu zangu Waislam maana CCM na serikali yake iliwahaidi jambo hili na hata ikawekwa kwenye ilani yao ya uchaguzi,maskini haweakujua kama wanatapeliwa ili watoe kura kama ambavyo ahadi nyingi hewa zilizotolewa!
Bytheway lkn Waislam hawajachambua wazi wanakosa kitu gani kwenye sheria mama zilizopo tz hivi sasa hadi wanapigania mahakama ya kadhi?watapata ni ni ikianzishwa mahakama ya kadhi ambacho sasa hawapati?
ndugu unaoneka na udhaifu wa busara na elimu ya kilimwengu. hizo mahkama za kadhi wanazo dai waislamu hata UK zipo na zemeuhusiwa kisheria kufanya kazi. mahakama hizo , hazihukumu wahalifu ( wezi, majambazi,waporaji na makosa kama hayo). kazi yake ni kuangalia haki za kiislamu kwa wailsamu. katika masula ya ndoa , na urithi na mabo kama hayo. wakristo hawaoi mke zaidi ya mmoja. waislamu wanaruhusiwa kuoa mpaka wa nne. kwa hiyo kunakua na matatizo mengi ambayo sheria ya mahkama ya kawaida inakua tabu kuweka haki sawa.
Hakuna kulazimisha katika dini, mimi nimekuwa muislamu baada ya kuwa na akili yangu...kwahiyo ntashukuru kama mwana wa mungu atfahamu haki ...hoja hapa si wewe uwe dini gani? ila kwanini wewe mkristo ujisikie vibaya kwa jambo ambalo halikuhusu..wivu, uchoyo, siasa kali au nini? hapo ndio nashindwa kuwaelewa wakristo?