Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir Ali amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuhubiri na kulinda amani ya nchi, akisisitiza kuwa amani ndiyo msingi wa Uislamu na maendeleo ya taifa.
Akizungumza katika mkutano wa viongozi wa dini mjini Makambako, Mufti Abubakar amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, na kuwachagua viongozi watakaodumisha utulivu na mshikamano.
Akizungumza katika mkutano wa viongozi wa dini mjini Makambako, Mufti Abubakar amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, na kuwachagua viongozi watakaodumisha utulivu na mshikamano.