GE2025 Mufti Mkuu awataka Watanzania kuhubiri na kulinda Amani

GE2025 Mufti Mkuu awataka Watanzania kuhubiri na kulinda Amani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir Ali amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuhubiri na kulinda amani ya nchi, akisisitiza kuwa amani ndiyo msingi wa Uislamu na maendeleo ya taifa.

Akizungumza katika mkutano wa viongozi wa dini mjini Makambako, Mufti Abubakar amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, na kuwachagua viongozi watakaodumisha utulivu na mshikamano.

 
Back
Top Bottom