- Thread starter
- #21
Hahaha sio kupoteza muda, Nenda ukampigie yule unayemtaka wewe.
Hahaha sio kupoteza muda, Nenda ukampigie yule unayemtaka wewe.
Ninaemtaka mm najua hatopewa ayapewa anaejiongezea mdaHahaha sio kupoteza muda, Nenda ukampigie yule unayemtaka wewe.
Kama unaamini hatopewa sawa tumia haki yako upendavyo. Kupiga kura ni wajibu wa kila mtanzania mwenye umri unaoruhusiwa kufanya hivyo, ila sio lazima.
Nasi tunamtuma akawaambie wenzake kuwa wasithubutu kufanya wanalolikusudia vinginevyo watakiona cha mtema kuni.Huyu ni kiongozi mkubwa serikalini, katumwa kupima upepo ili waandae master plan nzuri ya kujifalmisha.
Kwani matokeo yote huwa unayapata hapo hapomaswali ya kijinga
hautafanya lolote!
mbowe anasota jela hamjafanya lolote lile
Hahaha
Mtafanya kile mlichofanya baada ya kupigwa mkwara na RPC wa makao makuu kule!Hahaha kaka unarudia mule mule HAIWEZEKANI, Nakubaliana nawe utaratibu ni miaka 5, lakini haijawahi kuwa 5, na hata inapotokea kutaka kuwa 5 wanakataa, rejea Zanzibar 2015. Hili linaeleweka hata juhudi za sasa za kukataliwa katiba mpya, kuleta muswaada wa vyama vya siasa, kuzuia mikutano ya siasa inaweza kuwa na sura mbaya lakini tunayaona yanatokea. Na inaweza kuwa mikakati yao lakini hoja hapa lipo. Miaka 5 iko kikatiba, na 5x2=10 na imekuwa hivyo awamu 5 sasa.Kwa kuongezea nyie mnafuata katiba wao wanafuata ILANI. Hapo ndipo mnapopishana, wanaenda nyie mnarudi.
Turudi kwenye mada hili la kuongeza muda pia halipo kikatiba, swali ni ikiwa litatokea tutafanya nini wananchi?
Hahaha haya maswali ni kwa ajili ya watu wazima, wewe ulipaswa uwe umelala kesho uwahi shule. Wazazi wa siku hizi hawaangalii watoto wana kesha jamiiforums, halafu wanalalamikia elimu kuwa duni.
Hahaha ni rahisi kusema kuliko kutenda.Nasi tunamtuma akawaambie wenzake kuwa wasithubutu kufanya wanalolikusudia vinginevyo watakiona cha mtema kuni.
Hahaha hawajasema watajenga UKUTA, wala M aandamano. Usiwawekee maneno mdomoni.Mtafanya kile mlichofanya baada ya kupigwa mkwara na RPC wa makao makuu kule!
Mtakubali au mtakataa?! Au mtafanya nini?!
Nyerere alitawala tangu 1961 mpaka 1985, sijui ni kwanini ilikuwa hivyo. Ila marais waliofuatia wamekuwa na utaratibu wao wa kukaa miaka 10 kila mmoja. Kunadhana kwamba hiwezekani akazidisha muda, eti katiba inamkataza, sawa. lakini ikitokea aka kaa zaidi ya miaka kumi kwa kisingizio chochote, mtafanya nini wananchi. Kua haijawahi kutokea Tanzania sio hoja hapa, kwasababu hata huko ilikotokea hawakuomba, bali mazingira yalitengenezwa na ikawa hivyo. Huwa wansema nitaondoka nikiona mambo yako sawa lakini hayo mambo hawayasemi.
Ikiwa hujaambukizwa ukimwi, huwa unasema mimi siwezi kuupata, haiwezekani. Lakini ukimwi huwa unapata wateja wapya kila siku na kila dakika, na hata wale waliowahi kusema mimi haiwezekani nao wamekumbwa na gharika hilo. Sasa assume inatokea kwetu Tanzania Magufuli naongeza muda, anasema aliyoyapanga kuyafanya hayajaisha ataondoka atakapo jiridhisha yeye kwamba yamefanyika.
Kabla hajazuia Bunge live ilianza minong'ono na wapo wale waliosema HAIWEZEKANI, na hata kabla hajazuia mikutano ya siasa wapo wale waliosema HIWEZEKANI mengine mengi walisema hayawezekani lakini yamewezekana na kila mtu yuko kimyaaaaa. Sasa kuna muswaada wa vyama vya siasa, ilianza minong'ono ,hadi sasa tunauona muswaada na watu wanapeleka maoni yao na maoni yanakusanywa kwa mtindo huohuo tusioufahamu lakini mambo yanakwenda na mwisho utapitishwa. Muswaada wa katiba mpya uliisha tupwa, kuna waliobisha wakasema imetumika pesa nyingi sana na muda HAIWEZEKANI tukauacha na haitawezekana, lakini sasa ni historia, na maisha yanasonga mbele.
Je hili la kuongeza muda baada ya miaka kumi kuisha bado wapo wanosema HAIWEZEKANI? na ikiwa LITAWEZEKANA wao watafanya nini? au tutalialia humu basi tunazoea siku zinaenda.
wadau karibuni tujadiri.
Hahaha haya maswali ni kwa ajili ya watu wazima, wewe ulipaswa uwe umelala kesho uwahi shule. Wazazi wa siku hizi hawaangalii watoto wana kesha jamiiforums, halafu wanalalamikia elimu kuwa duni.