Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Nani alaumiwe PM Pinda ama Presedent JK.
this is a fallacy...your seven words have actually no answer so far....
Nani alaumiwe PM Pinda ama Presedent JK.
Kutokana na riport ya kamati maalumu kuchunguza mwenendo wa oparation maalumu ya kutokomeza ujangili kufichua uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu ni dhahiri sasa muda wa Mh. Pinda mtoto wa mkulima kuwa waziri mkuu unafika ukingoni, hii imejidhihirisha kutokana na michango ya wabunge mbalimbali na iwapo mh hatajiuzulu atakua amepoteza imani kubwa ya utendani wake kwa wananchi.
Uko sahihi mkuu, wamwache aendelee kwani sioni mabadiliko yoyote makubwa hao watakoshika hizo nafac watatoka wapi . Kama watatoka miongoni mwao basi hakuna jipya ni usanii at work. Wawaache wamalizie vipindi vyao tusubiri 2015ishu ni JIN..GA LINGENE TOKA HUKOHUKO MAGAMBA LITAKALIA KITI...
HOPELESS COUNTRY... BUSINESS AS USUAL..