YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Sasa hivi kuna uhitaji mkubwa mno wa makaa ya mawe na chuma na Madini ya Nickel yaliyoko kabanga ngara yanahitajika sana Ulaya
Tani moja ya Nickel ilikuwa dola elfu 35 sasa hivi ni dola laki moja kwa tani
Tuchangamkie fursa Tafuta wawekezaji wa nje chapchap wenye mitaji na teknolojia waje upesi yasije tudodea
Makaa Ulaya yanatafutwa kama nishati mbadala kufidia vikwazo vya gesi ya Urusi na chuma kinahitajika sana kilikuwa kinatoka Ukraine na Urusi wako vitani supply ndogo tuchangamkie
Liganga na mchuchuma na ngara nk hayo Madini tunayo kibao yamelala ardhini
Tani moja ya Nickel ilikuwa dola elfu 35 sasa hivi ni dola laki moja kwa tani
Tuchangamkie fursa Tafuta wawekezaji wa nje chapchap wenye mitaji na teknolojia waje upesi yasije tudodea
Makaa Ulaya yanatafutwa kama nishati mbadala kufidia vikwazo vya gesi ya Urusi na chuma kinahitajika sana kilikuwa kinatoka Ukraine na Urusi wako vitani supply ndogo tuchangamkie
Liganga na mchuchuma na ngara nk hayo Madini tunayo kibao yamelala ardhini