Muda unakimbia halafu hakuna kitu umefanya

Muda unakimbia halafu hakuna kitu umefanya

Hivi mtu anapigaje bao wakati wa paper[emoji12] [emoji12] [emoji12]

Hizo hisia zinatoka wapi....
 
Mkuu umeona mbali....
lakini naona kuna wimbi la wengi kufika hiyo 40 wakiwa bado wanapapasa gizani.
Kuna mambo mengi yanachangia kiasi wengi wamekata tamaa kabisa na wanaishi kwa matumaini na maisha ya kufikirika...
na ndio inayoibua tabia za ajabu siku hizi.
Wivu uadui. Visasi . Utapeli nk.
 
na ukijiwekea malengo na ukafanikiwa kuyakamilisha,,,, siku zote utakuwa kijana ---mission accomplished....
 
shikamo Simplicity. umetusha kwa hil darasa mim 22 mwaka huu ila nina kimoja nimeacomplish bado kuna kingine roho yang inadai yan naumizwa kichwa usiku na mchana ntatoboa vip kutoka na kuwa na biashara kabambe
 
Back
Top Bottom