Muda si mrefu Mch Gwajima atafikishwa mbele ya KAYAFA

Muda si mrefu Mch Gwajima atafikishwa mbele ya KAYAFA

CCM kwa kuhadaa tu nawanyooshea mikono. Walimdanganyaga aliyekuwa jaji mkuu Agustino Ramadhani hadi waliokuwa naye karibu walimsikia akikilaani chama kichiz.

Walimuambia achukue fomu na uhakika wa kuchaguliwa kugombea urais 2015 asilimia 100%.

Yeye alijua kabisa atashinda walishamdanganya wew ni mzanzibari kwanza halafu mkristo hii zamu ni ya wazanzibar na wakristo. Yani alihakikishiwa na akawa na confidence ya hatarii.

Akina Edo kumwembe hadi kwenye page zao wanaandika rais ajaye wa Tanzania. Nakupiga picha naye

Wanoko wanadai karibu adondoke na presha jina lake lilivyokuwa la mwanzo kukatwa.
 
CCM kwa kuhadaa tu nawanyooshea mikono. Walimdanganyaga aliyekuwa jaji mkuu Agustino Ramadhani hadi waliokuwa naye karibu walimsikia akikilaani chama kichiz.

Walimuambia achukue fomu na uhakika wa kuchaguliwa kugombea urais 2015 asilimia 100%.

Yeye alijua kabisa atashinda walishamdanganya wew ni mzanzibari kwanza halafu mkristo hii zamu ni ya wazanzibar na wakristo. Yani alihakikishiwa na akawa na confidence ya hatarii.

Akina Edo kumwembe hadi kwenye page zao wanaandika rais ajaye wa Tanzania. Nakupiga picha naye

Wanoko wanadai karibu adondoke na presha jina lake lilivyokuwa la mwanzo kukatwa.

Na ujaji wake akaamini katika ahadi za watu na si wapiga kura?
 
Tuliwahi kusema humu katika mistake ambayo Gwajima aliifanya katika maisha yake ni kujiunga na CCM kisha kuhongwa ubunge!

Uchaguzi wa 2020 ulimuondolea credibility yote ambayo aliijenga katika jamii kwa muda mrefu mno…

Ile saa ya kufikishwa mbele ya kuhani mkuu imefika na this time atamalizwa hatainuka tena!

Nimemsikia askari mmoja wa sinagogi akikumbushia video ya Ngono ya askofu aliyosingizia sijui mkono wa baunsa!! Nimestushwa mno na kauli ile tena ya askari wa sinagogi dhidi ya mjumbe wa baraza Yao…

Kama nawaona mafarisayo na wakuu wa baraza walivyojipanga kumshitaki na kumshuhudia yote mbele ya kuhani mkuu KAYAFA!!

Swali baada ya hukumu ya KAYAFA Gwajima atasimama na nani akamwamini?

Naisubiria kwa hamu saa ile atakapoletwa mbele ya baraza!!
Never ever....!

Nilishawahi kufikiri hivyo pia, kuwa alifanya makosa kujiunga na CCM na kupewa ubunge...

Lakini sasa nimeelewa kusudi la Mungu Yehova lilikuwa ni nini kuruhusu...

Hii ni nyundo ya kuiponda ponda joka liitwalo CCM na ilikuwa lazima aingie huko ndani mwao kwa mlango huu...


Sijui kama unaelewa ujumbe uliomo ndani ya video hii. Kwa namna hii, nani anadhani kuwa Dr Dorothy Gwajima na wenzake huko serikalini wana credibility ya kuamuru mtu huyu akamatwe...?

Giza haliwezi kuishinda Nuru hata siku moja...!
 
Never ever....!

Nilishawahi kufikiri hivyo pia, kuwa alifanya makosa kujiunga na CCM na kupewa ubunge...

Lakini sasa nimeelewa kusudi la Mungu Yehova lilikuwa ni nini kuruhusu...

Hii ni nyundo ya kuiponda ponda joka liitwalo CCM na ilikuwa lazima aingie huko ndani mwao kwa mlango huu...
View attachment 1896170

Sijui kama unaelewa ujumbe uliomo ndani ya video hii. Kwa namna hii, nani anadhani kuwa Dr Dorothy Gwajima na wenzake huko serikalini wana credibility ya kuamuru mtu huyu akamatwe...?

Giza haliwezi kuishinda Nuru hata siku moja...!

Uko brainwashed wewe
 
Uko brainwashed wewe
No, I am not 100%...

Najua nisemacho. Najua niaminicho. Nimepima katika geji [Neno la Mungu] kila lisemwalo na Rev. Gwajima na nimeridhika na kuthibitisha kuwa HE'S TRUE SERVANT OF A TRUE LIVING GOD...!!

Hakuna kitachotokea nakuambia. Ataondoka CCM. Ataacha ubunge wao na msimamo wake utakuwa palepale. Na kazi aliyotumwa kuifanya huko, atakuwa ameimaliza....!!
 
Tuliwahi kusema humu katika mistake ambayo Gwajima aliifanya katika maisha yake ni kujiunga na CCM kisha kuhongwa ubunge!

Uchaguzi wa 2020 ulimuondolea credibility yote ambayo aliijenga katika jamii kwa muda mrefu mno…

Ile saa ya kufikishwa mbele ya kuhani mkuu imefika na this time atamalizwa hatainuka tena!

Nimemsikia askari mmoja wa sinagogi akikumbushia video ya Ngono ya askofu aliyosingizia sijui mkono wa baunsa!! Nimestushwa mno na kauli ile tena ya askari wa sinagogi dhidi ya mjumbe wa baraza Yao…

Kama nawaona mafarisayo na wakuu wa baraza walivyojipanga kumshitaki na kumshuhudia yote mbele ya kuhani mkuu KAYAFA!!

Swali baada ya hukumu ya KAYAFA Gwajima atasimama na nani akamwamini?

Naisubiria kwa hamu saa ile atakapoletwa mbele ya baraza!!
Usaliti ni laana
 
Tuliwahi kusema humu katika mistake ambayo Gwajima aliifanya katika maisha yake ni kujiunga na CCM kisha kuhongwa ubunge!

Uchaguzi wa 2020 ulimuondolea credibility yote ambayo aliijenga katika jamii kwa muda mrefu mno…

Ile saa ya kufikishwa mbele ya kuhani mkuu imefika na this time atamalizwa hatainuka tena!

Nimemsikia askari mmoja wa sinagogi akikumbushia video ya Ngono ya askofu aliyosingizia sijui mkono wa baunsa!! Nimestushwa mno na kauli ile tena ya askari wa sinagogi dhidi ya mjumbe wa baraza Yao…

Kama nawaona mafarisayo na wakuu wa baraza walivyojipanga kumshitaki na kumshuhudia yote mbele ya kuhani mkuu KAYAFA!!

Swali baada ya hukumu ya KAYAFA Gwajima atasimama na nani akamwamini?

Naisubiria kwa hamu saa ile atakapoletwa mbele ya baraza!!
Rubbish.
 
Tuliwahi kusema humu katika mistake ambayo Gwajima aliifanya katika maisha yake ni kujiunga na CCM kisha kuhongwa ubunge!

Uchaguzi wa 2020 ulimuondolea credibility yote ambayo aliijenga katika jamii kwa muda mrefu mno…

Ile saa ya kufikishwa mbele ya kuhani mkuu imefika na this time atamalizwa hatainuka tena!

Nimemsikia askari mmoja wa sinagogi akikumbushia video ya Ngono ya askofu aliyosingizia sijui mkono wa baunsa!! Nimestushwa mno na kauli ile tena ya askari wa sinagogi dhidi ya mjumbe wa baraza Yao…

Kama nawaona mafarisayo na wakuu wa baraza walivyojipanga kumshitaki na kumshuhudia yote mbele ya kuhani mkuu KAYAFA!!

Swali baada ya hukumu ya KAYAFA Gwajima atasimama na nani akamwamini?

Naisubiria kwa hamu saa ile atakapoletwa mbele ya baraza!!
Uchaguzi wa 2020 ulimuondolea credibility yote ambayo aliijenga katika jamii kwa muda mrefu mno…[emoji1752] Mzee wa phonerotica[emoji1]
 
Uchaguzi wa 2020 ulimuondolea credibility yote ambayo aliijenga katika jamii kwa muda mrefu mno…[emoji1752] Mzee wa phonerotica[emoji1]

Daah mkuu phonerotica umenikumbusha kitambo saana!! Hahaha Gwajiboy ni star
 
Askari wa kayafa nae kumbe aliona ule mkono,ila yule askari nimethibitsha ni empty simlaumu nadhani hakusoma fani ya sanaa
 
Back
Top Bottom