Muda si mrefu Mch Gwajima atafikishwa mbele ya KAYAFA

Muda si mrefu Mch Gwajima atafikishwa mbele ya KAYAFA

Lusungo

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
29,515
Reaction score
42,646
Tuliwahi kusema humu katika mistake ambayo Gwajima aliifanya katika maisha yake ni kujiunga na CCM kisha kuhongwa ubunge!

Uchaguzi wa 2020 ulimuondolea credibility yote ambayo aliijenga katika jamii kwa muda mrefu mno…

Ile saa ya kufikishwa mbele ya kuhani mkuu imefika na this time atamalizwa hatainuka tena!

Nimemsikia askari mmoja wa sinagogi akikumbushia video ya Ngono ya askofu aliyosingizia sijui mkono wa baunsa!! Nimestushwa mno na kauli ile tena ya askari wa sinagogi dhidi ya mjumbe wa baraza Yao…

Kama nawaona mafarisayo na wakuu wa baraza walivyojipanga kumshitaki na kumshuhudia yote mbele ya kuhani mkuu KAYAFA!!

Swali baada ya hukumu ya KAYAFA Gwajima atasimama na nani akamwamini?

Naisubiria kwa hamu saa ile atakapoletwa mbele ya baraza!!
 
Tuliwahi kusema humu katika mistake ambayo Gwajima aliifanya katika maisha yake ni kujiunga na CCM kisha kuhongwa ubunge!

Uchaguzi wa 2020 ulimuondolea credibility yote ambayo aliijenga katika jamii kwa muda mrefu mno…

Ile saa ya kufikishwa mbele ya kuhani mkuu imefika na this time atamalizwa hatainuka tena!

Nimemsikia askari mmoja wa sinagogi akikumbushia video ya Ngono ya askofu aliyosingizia sijui mkono wa baunsa!! Nimestushwa mno na kauli ile tena ya askari wa sinagogi dhidi ya mjumbe wa baraza Yao…

Kama nawaona mafarisayo na wakuu wa baraza walivyojipanga kumshitaki na kumshuhudia yote mbele ya kuhani mkuu KAYAFA!!

Swali baada ya hukumu ya KAYAFA Gwajima atasimama na nani akamwamini?

Naisubiria kwa hamu saa ile atakapoletwa mbele ya baraza!!
Usiamini sana Maccm, hii yote ni circus
 
Gwajima naamini kama sio Magufuli hata ubunge asingeupata, na alichukua form ya ubunge ili kumfurahisha jamaa yake wa nyumbani amuone wako pamoja, bahati nzuri kwake akazawadiwa ubunge licha ya kushika nafasi ya tatu kwenye kura za maoni.

Lakini imekuwa bahati mbaya kwa CCM, now Magufuli hayupo, Gwajima kwa tabia yake ya kupenda kuropoka ili apate sifa binafsi anazidi kukiweka chama chao kwenye wakati mgumu, jamaa anazidi kuonesha yeye ndie yuko juu yao, na maazimio ya vikao vya chama chao.
 
na usajili ni wa miaka mitano tu, ukiwazingua hupati tena registration
Kwanza lile jengo lake pake ubongo anahatarisha usalama wa wananchi nengo kule nyuma limeoza na ukuta uko juu juu muda wowote litavunjika ma lipo chini ha wire za umeme unaoenda zanzibar n chini kumepita gass.
Mbona pa kumkamatia tunamo,,!!
 
na usajili ni wa miaka mitano tu, ukiwazingua hupati tena registration
Waliona wakushughulikiwa ni wapinzani pekee,sasa aliyemo naasiye kuwa mo ,wote tuna kiona cha mtema kuni,hata walewasemao katiba mpya sii hitaji la Watanzania
 
Back
Top Bottom