Never ever....!
Nilishawahi kufikiri hivyo pia, kuwa alifanya makosa kujiunga na CCM na kupewa ubunge...
Lakini sasa nimeelewa kusudi la Mungu Yehova lilikuwa ni nini kuruhusu...
Hii ni nyundo ya kuiponda ponda joka liitwalo CCM na ilikuwa lazima aingie huko ndani mwao kwa mlango huu...
View attachment 1896170
Sijui kama unaelewa ujumbe uliomo ndani ya video hii. Kwa namna hii, nani anadhani kuwa Dr Dorothy Gwajima na wenzake huko serikalini wana credibility ya kuamuru mtu huyu akamatwe...?
Giza haliwezi kuishinda Nuru hata siku moja...!