Wanautumia ila siyo kwa kusubiri. NO.
wanaproject wanaweka pesa. Tena siku hizi wazungu wanakitu kinaitwa inside trading. Nafkiri tunakijua Sasa kwa sababu ya integration ya mawasiliano na whistle blowing plus citizen journalism imekuwa a thing. Kutoboa ni ngumu sana unless kuna hivyo vitu hapo juu