Muda ni kitu gani?

Shukrani🙏🙏
 
Asante kaka 🙏🙏♥️
 
Kimsingi watu waliokua hawana sense ya muda walikua na pattern za matendo sehemu kubwa ilikua ni kwaajili ya matumbo na uzazi(ngono).
Kiherehere cha mabeberu kugundua muda na vifaa vingine vya kimaendeleo vilifanya watu waanze kujilimbikizia mali na kujali muda. Kama vitendo vilivyokua vifanyike kesho kutwa vinaweza kufanyika leo na kuokoa muda basi kuanzi hapo mahangaiko ya mwanadamu yakaanza

Mwaka 1448 ndiyo mwaka wa waislamu
 
Kimsingi watu waliokua hawana sense ya muda walikua na pattern za matendo sehemu kubwa ilikua ni kwaajili ya matumbo na uzazi(ngono).
Ooh sawa mkuu
Kiherehere cha mabeberu kugundua muda na vifaa vingine vya kimaendeleo vilifanya watu waanze kujilimbikizia mali na kujali muda.
🙌🙌
Kama vitendo vilivyokua vifanyike kesho kutwa vinaweza kufanyika leo na kuokoa muda basi kuanzi hapo mahangaiko ya mwanadamu yakaanza
Mahangaiko ya mwanadamu yakaanza🤔
Mwaka 1448 ndiyo mwaka wa waislamu
Wewe ni Muslim?
Ni upi mwaka sahihi kati ya 1448 & 2026

Nyongeza : mda uligunduliwa na mabeberu?
Before hapakua na kitu kinachoitwa mda?
 
Muda ulikuwepo ila waliokuwepo hawakuujua na hawakuwa na shughuli nao

Tuko mwaka 1448 ni fact kwa mujibu wa dini ya kiislam, wachina na waethiopia nao wana muda wao na huo 2026 ni wako
 
Bora uanze taratibu kwa mpangilio kuliko kufanya haraka kwa kutokupangilia. Hakuna aliechelewa katika maisha unavyoishi ndio maisha. Maisha sio utakavyoishi maisha ni vile unavyoishi sasa kuhusu kesho utakavyoishi ni mipango tu nasi maisha halisi kwasababu binadamu anaishi wakati uliopo tu na ndio muda wenyewe THE ONLY TIME IS RIGHT NOW.
 
Binadamu anaishi wakati uliopo tu na ndio muda wenyewe 📌
 
Mimi nachojua binadam anaishi mara mbili tu
siku anayozaliwa na siku anayokufa
maanake siku 2 tu!
 
CALENDAR IS FAKE, THERE IS ONLY DAY AND NIGHT.
JAMII YOYOTE INAWEZA AMUA KUANZA KUHESABU MASAA KILA BAADA YA DK 100, AU KUJIHESABIA SIKU YENYE MASAA 10 TU NA KISIHARIBIKE KITU.
JAMII INAWEZA AMUA KUANZA KUHESABU MIAKA UPYA LEO NA KISIHARIBIKE KITU.
MUDA SI KITU HALISI.
 
Aisee so mda ni kitu cha kutunga tu
Watu fulani walikaa wakapanga tu kua saiv ni saa 1 saa 2 👍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…