Muda muafaka wa DR Mwinyi kuachia ngazi

i pad3

JF-Expert Member
Mar 16, 2012
1,518
378
Huu ndio muda mzuri wa hawa mawaziri wa Zanzibar kuachia ngazi walizo nazo huku Tanganyika na kwenda kujiunga na mashehe huko visiwani kudai uhuru wao na kupinga unyonyaji unaofanywa na waislamu na wakristo wa huku bara
 
na mawaziri wenzake wengine wote wa kutoka visiwani
 
Muungano ukifa na umakamu wa rais ndo kwishnei so Bilal, nahodha,mwinyi, pale hazina nk wakitaka kuja kutusalimia tutawaomba visa. Hivi kwanini hakuna hata waziri mmoja ambae anaongoza znz? tungetaka kudumisha udugu na kama kweli znz si nchi kwanini Maige asiende kuwa waziri huko? badala ya kumuacha huko Msalala akilalamika na kuwekeana mabif na Lembeli?
 
wamajua kabisa muungano ukifa itakula kwao..tatizo sio muungano tatizo ni kanisa ...
 
Eti muungano wa wao kuja kututawala sisi lakini sisi kwao marufuku! Hata kukaa tu wanatuchomea nyumba na maduka na makanisa yetu! Muungano gani huu! Dunia nzima sijawahi ona kitu kama hiki! Halafu marais wao wanakuja kuchukulia uzoefu wa kuongoza huku kwetu! Kwa maoni yangu, muungano uvunjwe hata sasa! Bara hatutapoteza chochote! Sana sana tutafaidi kwa kuwakamua kodi na kuwauzia umeme na chakula!!
 
Eti muungano wa wao kuja kututawala sisi lakini sisi kwao marufuku! Hata kukaa tu wanatuchomea nyumba na maduka na makanisa yetu! Muungano gani huu! Dunia nzima sijawahi ona kitu kama hiki! Halafu marais wao wanakuja kuchukulia uzoefu wa kuongoza huku kwetu! Kwa maoni yangu, muungano uvunjwe hata sasa! Bara hatutapoteza chochote! Sana sana tutafaidi kwa kuwakamua kodi na kuwauzia umeme na chakula!!
ndio maana naanza kuamini kwa nini watanzania kila siku wanaingizwa kwenye mikataba mibovu.....huu muungano gani hata taahira kichaa hawezi kukubali muungano wa aina hii .
 
Siyo Mawaziri tu hata Wabunge wao aka wawakilishi waondoke tusiwaone Mjengoni tena ili tuwe na uhakika kweli wanataka Zenji yao.
 
Nitaamini kweli WanZanibar wanataka Zanzibar yao na sisi waZanzibara tubaki na Tanganyika yetu ni pale tu Wabunge wote toka Zanzibar watakapo achia ngazi nakuondoka kuacha nafasi hizo hapo ndio nitaona kweli wanachosema mengineyo wanafanya maigizo.
 
Siyo Mawaziri tu hata Wabunge wao aka wawakilishi waondoke tusiwaone Mjengoni tena ili tuwe na uhakika kweli wanataka Zenji yao.
Huko waliko wanasikilizia na wanalia tu, maana wanaona ubwabwa wao unataka kupokonywa!
 
Huu ndio muda mzuri wa hawa mawaziri wa Zanzibar kuachia ngazi walizo nazo huku Tanganyika na kwenda kujiunga na mashehe huko visiwani kudai uhuru wao na kupinga unyonyaji unaofanywa na waislamu na wakristo wa huku bara
Tatizo kubwa la wenzetu across the water ni unafiki na kuogopa. Mawaziri walitakiwa wawe mstari mbele kuwakanya au kuwapa support wenzao. Kama kawaida wamekaa kimya, hii inaasheria kuwa wanaunga mkuno vitendo vya kigaidi wanavyofanyiwa Watanganyika walioko Zanzibar. Je tukaamua kuachie vijana toka KITUNDA waingie kutafuta wapemba Dar hivi watajisikiaje!!!! Uwezo tunao sana ila hatujaamua. Kwa Maana hiyo Basi Mawaziri toka Zenji uonesha msimamo wenu either way.
 
Bila hata ya kuhusisha mgogoro huu wa kuchoma makanisa........Mwinyi hapaswi kuwa Waziri wa Afya wa Tanzania.
Hivi kweli, Dr. Kingwangwala anaweza akaenda kuwa waziri wa Afya wa Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar kweli?

Halafu hata huo udaktari wake ni wa mashaka mashaka............
 
Back
Top Bottom