chardams
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 2,450
- 1,751
wewe una abiria wangapi?Kwani mapenzi ni vita,, magari mengi abiria nao wengi
wewe una abiria wangapi?Kwani mapenzi ni vita,, magari mengi abiria nao wengi
Dah!I can feel uniko nje kwa dhamana,kesho asubuhi natakiwa kuripoti police
Utakuwa mchaga wewe, hukai mbali na fursaMkuu mwanamke hagombewi, hapo ungetengeneza biashara tu, ungeandaa kamerayako kisha unakula mapicha ya kutosha ukiwa umejificha kisha pocha ya mwisho unapiga wanakuona, kisha unaondoka mdogo mdogo kwenda ndani kwako, nakwambia demu atahama mwenyewe na jamaa atakuja kwa magoti akiomba hizo picha kwa gharama yoyote.
Which means usipopanda gari mwenzako atapanda na usipopanda Wewe atapanda abiria mwenginewewe una abiria wangapi?
Shukrani lolnzuri,signature...yako,nimeipenda.