tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,315
kama yeye mke wa mtu na mimi mme wa mtu...
kwa mapenzi nitakayompa ye mwenyewe ataomba talaka
kwani najua kila kitu kileleni hatochelewa kufika
popote nitakapomuona nimakiss,mahug mpk mwenyewe atadata
nitakuwa nae sambamba kama kahawawa na kashata
akinikubali sivungi naweka ndani fasta,
hata akinikataa sitokubali mpk nihakikishe utamu napata,
kwa mistari hii wachawi,wanafki lazima mtafyata
cc: tinna cute
Uwiiiiiii,, noumer sana.
Last edited by a moderator: