Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

hahaha, si unajua flaws ziko dynamic, tunchange tu kwenye game. af ile biti soon ntakuckiza yangu nlofanya, maana daily naedit ryhmes!

Sawa sawa, we fanya yako pale tuickie. Ila style yako iyo kama huna pumzi si unaweza ukafloat lakin?
 
mi ndo mKali
nyie wengine wote ni vinyuli
nimebaka wengi mademu wenu wazuri
kushindana nami ni kukaa ktk mvua bila mwavuli
juzi nlkutana na doli
nkampga denda nkamwacha ktk poli
spd 312 npo ktk gali
flow nmewabwaga ile mbali
ka naweza nkubali
cz haina gharama wala kibali

Huwezi nibakia demu wangu'
yia anatabia nzuri co kama wako machangu'
mtoto mcha MUNGU'
asiyependa majungu'
hapa magnifico namlinda namshikia kirungu'
yia
 
Last edited by a moderator:
mi ndo mKali
nyie wengine wote ni vinyuli
nimebaka wengi mademu wenu wazuri
kushindana nami ni kukaa ktk mvua bila mwavuli
juzi nlkutana na doli
nkampga denda nkamwacha ktk poli
spd 312 npo ktk gali
flow nmewabwaga ile mbali
ka naweza nkubali
cz haina gharama wala kibali

hivi na wewe umeandika mistari mh!!!
 
Yo,yo,yo,yo....aha,aha..
Number one fan,wa Liverpool FC,
Sie tuna forward kali,hata Torres akienda Chelsea,
Tunapiga kazi,hatuna mashauzi kama Heavenondesert
Huku kujiita hivi,kule kujiita kifesi
Nashuka vina,wala simdiss mtu
Wajinga mtanuna,me nakazia humu humu


"Nlikuwepo":bolt:
 
Last edited by a moderator:
This shit ain't android, you wont find it in a playstore,
YO mama taught u better neva play with storm,
They tryna chew this but this shit is hot,
follow follow me Mavoko u'l get lost,
HOld on.....lemie make this clear,
biting behind my back u ain't nothin but a queer,
i wont spare no snitch y'all wait the Don's wrath,
face me with a sling? ma nicca am no Goliath,
son of soldier armed with bitter lines,
all my true comrades stay in yo lanes,
find yourself inside my red book,
stan yo chest and hang u with meat hook,
I got bhakressa thoughts living a peasant's life,
my music like Kabbalah who's ready to deciphe?
i dont do collabo, might freeze ur verse,
first name don, last name chese!

Tunga mistari fasta unichanie mrembo hapa.
 
Yo,yo,yo,yo....aha,aha..
Number one fan,wa Liverpool FC,
Sie tuna forward kali,hata Torres akienda Chelsea,
Tunapiga kazi,hatuna mashauzi kama Heavenondesert
Huku kujiita hivi,kule kujiita kifesi
Nashuka vina,wala simdiss mtu
Wajinga mtanuna,me nakazia humu humu


"Nlikuwepo":bolt:

Yia yia yia wananiita master kiri,

yani nawapelekesha kushoto kulia kama makirikiri,

mi ndo rapa nliedata,

fake emcee hapa utafyata,

yea i got s0methng,

u have nothing,

ah am the baby boy got gud luking,

n if gt money am gonna take her to Beijing,
 
Last edited by a moderator:
Tunga mistari fasta unichanie mrembo hapa.

unataka mistari gani hardcore o bongoflavour?,unataka nichane vipi slow or huku macho nimekaza??
Toka kitambo nakufeel,sikupata muda kukwambia,leo naona nitoe siri,kishenzi nakuzimia,
naogopa majangili wasije kuniibia,
we nikubali tu haraka, usimsikilize fid q,nikikupata sitokuacha nikikuona tu moyo pu.
 
unataka mistari gani hardcore o bongoflavour?,unataka nichane vipi slow or huku macho nimekaza??
Toka kitambo nakufeel,sikupata muda kukwambia,leo naona nitoe siri,kishenzi nakuzimia,
naogopa majangili wasije kuniibia,
we nikubali tu haraka, usimsikilize fid q,nikikupata sitokuacha nikikuona tu moyo pu.

Wweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,,,,,,,,,,
mistari imetulia kama mtt kwny avatar..

Nichanie bas kama busta busta au eminem yan ki hard core fasta fast!!
1,2,3,, lets go
 
Wweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,,,,,,,,,,
mistari imetulia kama mtt kwny avatar..

Nichanie bas kama busta busta au eminem yan ki hard core fasta fast!!
1,2,3,, lets go

i fall in love with you name, tinnacute
plz mfanye dada yako aniite shem ,wengine nitawapa vibuti,
ntakuwa nawe kila sehem,kama chadema na kaki.

So please be mine,moyo wangu utatulia
kwangu unathamani zaidi ya iphone,wengine nawaona nokia
together we gonna fly,wachawi wakimbia


mapenzi yangu kwako hayatakuwa siri kama ya diamond na wema..
So please njoo nikuvishe pete we ndo chanda chema
mapenzi yangu kwako hayaelezeki kama zito na kigoma
tuko pamoja hata tukitembea wewe mbele mimi nyuma
wachawi, wanafiki roho zitaenedela kuwauma,
nitakupenda daima, kama wasichana wanavyopenda game la zuma...
 
Last edited by a moderator:
i fall in love with you name, tinnacute
plz mfanye dada yako aniite shem ,wengine nitawapa vibuti,
ntakuwa nawe kila sehem,kama chadema na kaki.

So please be mine,moyo wangu utatulia
kwangu unathamani zaidi ya iphone,wengine nawaona nokia
together we gonna fly,wachawi wakimbia


mapenzi yangu kwako hayatakuwa siri kama ya diamond na wema..
So please njoo nikuvishe pete we ndo chanda chema
mapenzi yangu kwako hayaelezeki kama zito na kigoma
tuko pamoja hata tukitembea wewe mbele mimi nyuma
wachawi, wanafiki roho zitaenedela kuwauma,
nitakupenda daima, kama wasichana wanavyopenda game la zuma...

yia yia yia mkuu unacheza na mke wa mtu,

kikiwaka mwenye mali atakukimbiza na mtutu,

si kama nakutisha yalishanikuta kwa fatu,

ok fanya chap chap tinna cute sema kweli,

utamponza mtoto wa watu akaingia kwenye hatari,

mchune 2 hiyo iphone afu mtelekeze feri,

afu nackia mchizi wako mkurya mkali ka pilipili,

yia.
 
Last edited by a moderator:
binamu yangu Masumbuko ananisikia hata akiwa jela,
jinsi nakinukisha na bado juhudi na sala,
naomba Hekima za Suleiman sio minguvu ya bure,
hata kauli zangu ndogo zioneshe nilienda shule...
 
i fall in love with you name, tinnacute
plz mfanye dada yako aniite shem ,wengine nitawapa vibuti,
ntakuwa nawe kila sehem,kama chadema na kaki.

So please be mine,moyo wangu utatulia
kwangu unathamani zaidi ya iphone,wengine nawaona nokia
together we gonna fly,wachawi wakimbia


mapenzi yangu kwako hayatakuwa siri kama ya diamond na wema..
So please njoo nikuvishe pete we ndo chanda chema
mapenzi yangu kwako hayaelezeki kama zito na kigoma
tuko pamoja hata tukitembea wewe mbele mimi nyuma
wachawi, wanafiki roho zitaenedela kuwauma,
nitakupenda daima, kama wasichana wanavyopenda game la zuma...

Watu pipooooopppopo!!!!!!"!
yoyoyo yoyo dah! natafuta biti kali hapa nisindikize na hii michano....
 
Last edited by a moderator:
yia yia yia mkuu unacheza na mke wa mtu,

kikiwaka mwenye mali atakukimbiza na mtutu,

si kama nakutisha yalishanikuta kwa fatu,

ok fanya chap chap tinna cute sema kweli,

utamponza mtoto wa watu akaingia kwenye hatari,

mchune 2 hiyo iphone afu mtelekeze feri,

afu nackia mchizi wako mkurya mkali ka pilipili,

yia.

kama yeye mke wa mtu na mimi mme wa mtu...


kwa mapenzi nitakayompa ye mwenyewe ataomba talaka
kwani najua kila kitu kileleni hatochelewa kufika
popote nitakapomuona nimakiss,mahug mpk mwenyewe atadata
nitakuwa nae sambamba kama kahawawa na kashata
akinikubali sivungi naweka ndani fasta,
hata akinikataa sitokubali mpk nihakikishe utamu napata,
kwa mistari hii wachawi,wanafki lazima mtafyata

cc: tinna cute
 
Last edited by a moderator:
yia yia yia mkuu unacheza na mke wa mtu,

kikiwaka mwenye mali atakukimbiza na mtutu,

si kama nakutisha yalishanikuta kwa fatu,

ok fanya chap chap tinna cute sema kweli,

utamponza mtoto wa watu akaingia kwenye hatari,

mchune 2 hiyo iphone afu mtelekeze feri,

afu nackia mchizi wako mkurya mkali ka pilipili,

yia.

Unatafuta vita ya mistari ngoja Mndengereko aje akuchane
 
Last edited by a moderator:
Watu pipooooopppopo!!!!!!"!
yoyoyo yoyo dah! natafuta biti kali hapa nisindikize na hii michano....
hahahah
biti unatafuta mwezi mzima...
Haya twende psss cha pssss cha psss cha....

We cha msingi itikia tawire
.naona DonLuchesse hana mistari kakimbia,
 
Last edited by a moderator:
Unatafuta vita ya mistari ngoja Mndengereko aje akuchane

Huyo kwa mistari bwana mdogo,mimi ni baba lao
ni kama clement wa ikulu kigogo,ingekuwa misri basi mi ni pharaoh
kwa mistari hii akiniona lazima ageuze mgongo la sivyo atacheza kibao
labda anipe hongo,ndo nimsamehe lasivyo atarudi kwao
mimi kwa mistari ni kama hadithi na shigongo,
 
Last edited by a moderator:
Huyo kwa mistari bwana mdogo,mimi ni baba lao
ni kama clement wa ikulu kigogo,ingekuwa misri basi mi ni pharaoh
kwa mistari hii akiniona lazima ageuze mgongo la sivyo atacheza kibao
labda anipe hongo,ndo nimsamehe lasivyo atarudi kwao
mimi kwa mistari ni kama hadithi na shigongo,

Umetisherr kaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom