Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Huu ndo Muda wa michano,
Najisogeza kwenye uzi,

Fake mc wanajua,
Kubato nami kama ngazi,

na kama uko real,
ingia tuokoe jahazi,

Rap naiweza,
Niko full sijikwezi,

Sichani ngumu sana,
Penye wengi walain,

unapata raha,
ukimtazama minaj kwa bikini,

Mi so jambazi la bongomuvi,
Niache viatu mlangoni,

Nikichana wanafyata,
Ka mfumwa wa ugoni,

Yeah
 
Yo Yo yo😀
Mimi ni msela siwezi kwenda jela yo Yo😜
 
The system is effed-up, and so is the opposition/
I know y'all caught-up, so pardon my disposition/
They got you set-up, to fullfill the mission/
I wanna wake you up, but I doubt y'all gon listen/
 
I'm smooth with the ladies, Cats question my cred/
I can crack a few jokes, cuz the game's already in bed/
Getting shots from fakes, I call out they hide/
I thought y'all had flames, come and show whatchu got/
 
ndani ya uwanja wa batle ngumu/

radiation sio jaji ila natoa hukumu/

kwa zangu verse makini nyie feki mnapata stimu/

spidi kali nakimbiza jichunge usipate pumu/

mionzi mikali zaidi ya sumu/

inawaunguza nyie mapanya/
 
Last edited by a moderator:
Zamani nilikuwa nachana nowadays nimesahau/
Hii yote kwasababu washika dau' wana dharau/
Hawataki kupanda dau' niteme zangu nahau/
Nawachukia sana, nawafananisha na manyan'gau/......
 
huu mchezo nimeukamata//unayebisha cross line hapa

am the best rapper,punch killer//chlorine gas the don kama drug dealer

ngoja leo nistop hapa//r.i.p deo wa njombe kwa ajar ya chopa
 
Upiversity kama vipi njoo, tuonyeshe unaweza nini/
Sio kila siku tu majivuno, ilhali uwezo una uwalakini/
Kaboom nipe yangu tuzo, leo nashuka kwa kiswahili/
Kughani ndio yangu nguzo, kivipi heshima sistahili?

Dah! Kwisha habari. Hii thread ifungwe tu. First ever, in kiswahili.
 
Last edited by a moderator:
Upiversity kama vipi njoo, tuonyeshe unaweza nini/
Sio kila siku tu majivuno, ilhali uwezo una uwalakini/
Kaboom nipe yangu tuzo, leo nashuka kwa kiswahili/
Kughani ndio yangu nguzo, kivipi heshima sistahili?

Dah! Kwisha habari. Hii thread ifungwe tu. First ever, in kiswahili.

hahahahahahaha...acha ncheke kimyakimya!..naona vilaza mnataka jina.,mtu mzima nalinda heshima!
Umeniita baba la baba!!??...son,hupata mwingi msiba,mtaka nyingi nasaba!
Natupa jiwe alqaaba!
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahaha...acha ncheke kimyakimya!..naona vilaza mnataka jina.,mtu mzima nalinda heshima!
Umeniita baba la baba!!??...son,hupata mwingi msiba,mtaka nyingi nasaba!
Natupa jiwe alqaaba!

Hata pia kenge wamo, kwenye msafara wa mamba/
Ni fika hujaelewa somo, rap ni zaidi ya kujigamba/
Umefikia wako ukomo, kilichobaki kujiliwaza/
Beti zimekosa mpangilio, hata kuandika ni tabu Brother?

Hahaha. Kubali yaishe aisee.
 
Hata pia kenge wamo, kwenye msafara wa mamba/
Ni fika hujaelewa somo, rap ni zaidi ya kujigamba/
Umefikia wako ukomo, kilichobaki kujiliwaza/
Beti zimekosa mpangilio, hata kuandika ni tabu Brother?

Hahaha. Kubali yaishe aisee.

Aina noma mwamba atajipanga/haba na haba hujaza kibaba,mambo mkangaja huenda yakaja/jifunze kupitia Mimi/pata elimu zote kupitia hii ndimi/sijui nilini ila siku nimoja Tu/nichague Mimi nikupatie japo kimoja Tu/word up
 
Naruka tikitaka mademu wanitaka hahahahahah

hahahahahaha....na wewe huwataki,unakula mishikaki!

Dhiki na shida mawazo lukuki,sina hamu wamekimbia Ndugu marafiki/nasota mwenyewe na hii tawala nduli,kuli natwishwa mizigo na hii ngili/kipato hakitoshi,majukumu lukuki nina mwaliko sina suti/sijui lini hii siku isio na jina,sijui nini ni bora kwa hivi vina/word up
 
Aina noma mwamba atajipanga/haba na haba hujaza kibaba,mambo mkangaja huenda yakaja/jifunze kupitia Mimi/pata elimu zote kupitia hii ndimi/sijui nilini ila siku nimoja Tu/nichague Mimi nikupatie japo kimoja Tu/word up

Komandoo kama Hamza, usimwamshe ambaye kalala/
Ni busara za wahenga, mwenye hekima hujifunza/
Wanasema elimu kwanza, ila zote ni propaganda/
Sahau magamba na gwanda, hebu fikiria utaifa kwanza/
 
Komandoo kama Hamza, usimwamshe ambaye kalala/
Ni busara za wahenga, mwenye hekima hujifunza/
Wanasema elimu kwanza, ila zote ni propaganda/
Sahau magamba na gwanda, hebu fikiria utaifa kwanza/

Rumba na dansi sakata,raha jipe mwenyewe"tafuta nafasi utapata,stage ni yako wewe"usifanye makosa kwenye hip hop michano,Fanya maamuzi sahihi hiyo tar 25"mabadiliko kwanza,pata stanza za uchaguzi ukiwaza unachokiwaza"uwazi na ukweli toka kwa Benny umefeli,maisha bora kwa kila mtanzania Ni utapeli"word up
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom