mbona nshatema vituBoss kakimbia uzi au!
nimpigie kura nani? Au niharibu kura yangu? /
kuna lowasa, magufuli nani nimpe nchi yangu?naipenda tanzania hapa ndo nyumbani kwangu /
uchaguzi unawasiri mpiga kura kuwa jasiri, tusiipoteze hii amani tukajakuwa kama wamisri/
nakosa jibu nani nimpe kura yangu, nimezichoka ahadi alizoahidiwa babu yangu/
serikali za kirafiki, viongozi si ndugu zangu.. Wanachaguana wenyewe we utachaguliwa na nani mwanangu? /
kijana
maisha ya leo sio ya jana
leo ni muda wa kufanya la maana
viongozi wanataka kura yako
kwamba watabadili kesho yako
simama tazama siku zinayoyoma
kama utakwama jamii nzima itazama
na kama usipotazama wajukuu watalalama
kura yako moja ya ndio
inaweza kuondoa vilio
au tuwe wakimbiz kutafuta kimbilio
hapa nasema na kijana
kwa maana
hakuna anayepita
kwenye msoto wa kutafuta
kama kijana
round 2 to worldboss
bado naongelea uchaguzi
kwa kila uzi na ujuzi ni juu ya uchaguzi
ili tujue aina ya kiongozi
atakayekuja kutufuta machozi
sina maana ya kufanya ubaguzi
sasa nasema na kina mama
nyie wakinamama
mnajijua mnavyopenda kulalama
kama uchaguzi ukiwa si salama
nalia kwa huruma juu ya kina mama
sasa msije fanya makosa
chaguen kiongozi asiye watosa
msidanganywe na vipesa
baada ya kura akawatosa
heshima kwa mama
bado naamini mama
mwaka huu hamtapata lawama
hakuna sera mpya, sera zote zishasemwa/
anazosema lowasa, magufuli anazirudia tena/
bora tusiwe na raisi maana pesa zetu zitapona, kuliko kuwachagua hawa watu jamani noma/
wanafunzi kushindwa kusoma, kupata kazi wasomi noma/
bei za vitu kupanda kama mzawa inanichoma/
haya yote hawakuyaona?
Tumepitwa na kenya, tunazidi kuhenya... /
2015 wagombea wote minawatema//////
mbona nshatema vitu
ndio naanza hivyo,
yeah yeah yeah ,
every body say yooo,
yoooooo...
say kwi kwi kwi,
kwi kwi kwiii....
yeah yeah yeah yeeaah,
koh koh ... nitarudi tena
nimpigie kura nani? Au niharibu kura yangu? /
kuna lowasa, magufuli nani nimpe nchi yangu?naipenda tanzania hapa ndo nyumbani kwangu /
uchaguzi unawasiri mpiga kura kuwa jasiri, tusiipoteze hii amani tukajakuwa kama wamisri/
nakosa jibu nani nimpe kura yangu, nimezichoka ahadi alizoahidiwa babu yangu/
serikali za kirafiki, viongozi si ndugu zangu.. Wanachaguana wenyewe we utachaguliwa na nani mwanangu? /
kijana
maisha ya leo sio ya jana
leo ni muda wa kufanya la maana
viongozi wanataka kura yako
kwamba watabadili kesho yako
simama tazama siku zinayoyoma
kama utakwama jamii nzima itazama
na kama usipotazama wajukuu watalalama
kura yako moja ya ndio
inaweza kuondoa vilio
au tuwe wakimbiz kutafuta kimbilio
hapa nasema na kijana
kwa maana
hakuna anayepita
kwenye msoto wa kutafuta
kama kijana
ISLETS Mentor Viol radiations AgentX tunahitaji kura zenu..nani katisha kati ya hawa wawiliround 2 to worldboss
bado naongelea uchaguzi
kwa kila uzi na ujuzi ni juu ya uchaguzi
ili tujue aina ya kiongozi
atakayekuja kutufuta machozi
sina maana ya kufanya ubaguzi
sasa nasema na kina mama
nyie wakinamama
mnajijua mnavyopenda kulalama
kama uchaguzi ukiwa si salama
nalia kwa huruma juu ya kina mama
sasa msije fanya makosa
chaguen kiongozi asiye watosa
msidanganywe na vipesa
baada ya kura akawatosa
heshima kwa mama
bado naamini mama
mwaka huu hamtapata lawama
ndio naanza hivyo,
yeah yeah yeah ,
every body say yooo,
yoooooo...
say kwi kwi kwi,
kwi kwi kwiii....
yeah yeah yeah yeeaah,
koh koh ... nitarudi tena