kwanini msitengeneze whatsapp group? itakuwa vizuri zaidi maana kuandika andika majanga
kwanini msitengeneze whatsapp group? itakuwa vizuri zaidi maana kuandika andika majanga
U
Bwanamdogo naitwa dabo
Umeniqoute! unatafuta tu trabo
Dogo Ntakunyonga
kitaan naitwa rambo
Ona Voko unaboronda
Chaa ajabu umejaa tambo
Jukwaani nadondoka
Wee unaona haya kirembo
Kisura umechuchuka
Nahisi umepigwa mtungo
Naona tu unapayuka
Minatembea na mdundo
Hii namba nyingine
Jaribu kwa maboya wengine
Ntakupiga kwenzi mpaka dogo ujikune
Kihesabu maswali majibu mimi ndo jipime
Kiukweli hauniwezi shiny c
Mkata viuno mkubwa zaid ya ray c
Mistari yako tasa wee hanisi
Ulikosa majina si ungejiita chainiz!
United street in Arusha yaani USA
Masela nawarusha hii sio BBA
LT kanipima nina hiphop DNA
Mitihani nimepita mpaka CPA
Freestyle master
Legendary wa rymes kaa buster
Mi ni profesor kama Jay
Sigawi nyuma kama gay
KiLowasa ccm hawaongei
Najaza nyomi mpaka inamtisha jeikei
shiny c hapa ndo umefika
fulu gwanda ka mbowe akiwa ufipa
Kila kona nakubalika
Jf mpaka fb kote nainstrgramika
Pesa ndo sauti ya kila rika
Maisha kugaramika
Bila pesa beyonce asingekua na jiga?
Nami nazisaka nimng'oe miss chagga
Teh teh..Mkuu jibu mapigo..We ulitaka mtu..huyo hapo amekuja sasa
mistari so weak mithiri ya miguu ya mpiga nyeto/Broh karibu kwenye ligi
Dabo nakufukuza kwenye mbigiri
Utadata
nyuma Nakupiga chata
Kimstri mi ngata
We Nyuma mpaka upigwe stata
utambwira worldboss
Fukara we ni false boss
MMM wape habari Kaboom mpaka Munkari
Stock ya mistari
Siyo chabo zako kwa daftari
Boss now umeingia loss
Za utoss mpaka utapull sokss
Bora ukimbie
Au baki ujipimie
Nakamia
Na nundu ya mistar kaa ngamia
Unaspeak nonsense
Hujui haumeki anysense
Rymes zangu expense...
Broken unachanganya past future tense
Skia huu ushindi ni wangu
Wee bora uende samakisamaki ukajiuze na machangu
hauwezi kushinda wala huwezi kunichana/Ame log off
Kakutana na emc tafu
Au kaenda kupiga Pushups?
Pengine kunivutia kaenda kupiga make up!
Anachekesha
Sio siri anajichoresha
Jukwaa kalinogesha
Mara kidogo kajiondosha
Ni sawa na ameninyegesha
Alafu ameniacha nimesimamisha
subiri nimpeleke darasani nikampige tuit ya ku-rap maana uwezo wake ni mdogo sanaTeh teh..Mkuu jibu mapigo..We ulitaka mtu..huyo hapo amekuja sasa
nyie leteni topic tu, mi mkaree bhana..
Alianza magnifico
Chini nikamkaba koo
Akafuata radiation
Now anapiga mastabation
Maskini kaka kipande
Popcorn sio makande
Kijaji kama chande
Boya nakugawa vipande
Mods mcheki boya
Ameanza matusi
Ntamla mpaka manyoya
Kisha nimpe virusi
Hiphop sio matusi
Au wee ni emc wa harusi?
Dogo nakuonya
Unaskia wee panya!
Ntakuvika kengelee
Upunguze kiherehere
Boxer nje umevaa mlegee
Swaga za kale kabla sjabalee
Hunitishi wee snitch mbichii
Kwa hii speech huniifichii
Mlaini zaidi ya parachichi
Sikufichi ntkutemea matapishi
Kwenye rap we mshamba
Vina huna unabaki jingamba
Emc feki
usawa wangu sifagilii
Vaa pedi
Unavuja damu kwani huangaliii
Sina wema
Sepetu linachimbua domo
Alale pema
Popote Peter kisumo
Kwenye Fani kitambo
Kabla ya hashimu dogo
Kiunoni mtambo
Sio muwa lete rambo
Mi uzito usiopimika
Dogo ukaka unajivika
Nmestick sitetereki
Spigiki schengeki
Uvae minskit stegeki
Kiukweli skwepeki
Mi ni zaid ya ngoma
Ukinisoma tu unahoma
Nyuma yako Nakuchoma
Wee Ivan mimi ROMA
Huwezi rap nenda twanga pepeta boi chunga ntakupwerepeta!
dabo wacha kugwaya
kubali kipande ni mmbaya
bila haya nakunyonga kama kaya
nakungoja nakuchonga kama viazi ulaya
umeshindwa kuhema
ni bado mapema,
unaanza kumuita mods
bado sijakuchamba
ushatokwa jasho jembamba
vipi nikijigamba kwa swag utajitia kamba
sikiliza broo
hapa hakuna droo
pili kubali kipande soo
kabla hujaomba poo
njoo kitaa nikupe doo
ipo serious kipande ni genius
toka class naitupa kwa wireless
legend kama nas
mmbaya kinotorious
huna ubaya nami na sina ubaya nawe
kama sisi wote ni mawe
dapo we kokoto kipande mi jabali
Tulia mada inaletwa/
Andaa wembe tayari kukeketwa/
Kama mko tayari tuweke utaratibu