Muda gani mzuri wa kutongoza

Muda gani mzuri wa kutongoza

hahahahah kipindi hiko nilikuwa o'level atoto nikikumbuka alivyonambia nacheka sana

Khaaaa! Ulishindwa hata kuchomoa nyingi nyingi kutoka kwenye poket money?
 
Last edited by a moderator:
Subiri kwanza mkuu hadi umri wao uende kidogo kwani huwa wanakuja wenyewe!!
 
muda sahihi ni baada ya kupiga viroba maana utaongea kingereza mwanzo mwisho
 
subiri msimu wa mvua utawaona wakiwa wamelowa na nguo zao kugandamana na miili yao wakati wanatoka katika harakati zao za maisha, huo ndio wakati muafaka
 
hivi kweli mtu wa mbagala anasubiri usafiri wa kwenda posta au kurudi nyumbani yupo kituoni unatangaza ndoa si utaonekana kichaa
 
Jambo la msingi siyo muda bali umri...

Kama ni watoto baso hao wanaruhusiwa kucheza mchana kabla ya giza!
 
Ndugu yangu kutongoza ya siku hizi hamna kabisa neno nakupenda
 
Back
Top Bottom