Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
siyo yangu mimi thamani yangu ni kubwa mno ..
Kama kiasi gani?
siyo yangu mimi thamani yangu ni kubwa mno ..
Lkn matumizi ya sim na baadhi ya mitandao ya kijamii yamepungu uwezo wa watu kutongoza yaani ile face to face kwa kizazi cha leo ni ngumu couse demu akikupa namba tu ndo ameshakubali
mkuu acha ufukunyuku......Kama kiasi gani?
duuu miss chaga unapenda ela....ntafute
miss chagga
Fursa hiyooo
Nikisikia ela naweza uza ata mtoto