Muda gani mzuri wa kutongoza

Muda gani mzuri wa kutongoza

Kati ya asubuhi au mchana na jioni, maana nyakati zote zimeniwia ngumu asubuhi mtu ndio anaamka na mipandilio ya kazi pengine,mchana au jioni kazi zimemalizika ana uchovu, au jpili mtu katoka kanisani anatafakari masomo na mafundisho ntawezaje kumwambia nakaupenda! Nimekua cross way kwahilo sijui ni muda gani ufaao kuongea na mdada kwa minajili ya ndoa tuu si vinginevyo

Unayetaka kumtongoza ratiba yake ikoje? Kama nia yako ni ndoa tumia utaratibu wa 'original' culture ya Kiafrika ya kuchumbia kwa kuandika barua na kutuma mshenga. Kwani wewe hukusoma 'Things Fall apart'? Halafu 'kutongoza' na 'kuchumbia' na hatimaye kuoa ni mambo tofauti kabisa, na mara nyingi mhusika akisikia unataka kumtongoza na sio uchumba kazi ni kubwa ila hautakiwi kudanganya.
 
Madem wa siku hizi ukitongoza kwa kumwambia nakupenda, umemkosa ......acha kabisa matumiz ya hlo neno mkuu
 
Kati ya asubuhi au mchana na jioni, maana nyakati zote zimeniwia ngumu asubuhi mtu ndio anaamka na mipandilio ya kazi pengine,mchana au jioni kazi zimemalizika ana uchovu, au jpili mtu katoka kanisani anatafakari masomo na mafundisho ntawezaje kumwambia nakaupenda! Nimekua cross way kwahilo sijui ni muda gani ufaao kuongea na mdada kwa minajili ya ndoa tuu si vinginevyo

Mkuu usijaribu kutongoza asubuh.Mara nyingi wadada asubh huwa na hasira na huwa hawajiamin kabisa.
 
Unayetaka kumtongoza ratiba yake ikoje? Kama nia yako ni ndoa tumia utaratibu wa 'original' culture ya Kiafrika ya kuchumbia kwa kuandika barua na kutuma mshenga. Kwani wewe hukusoma 'Things Fall apart'? Halafu 'kutongoza' na 'kuchumbia' na hatimaye kuoa ni mambo tofauti kabisa, na mara nyingi mhusika akisikia unataka kumtongoza na sio uchumba kazi ni kubwa ila hautakiwi kudanganya.
Hivi huu mfumo upo tena kweli? Na ikikutika bint mwenyewe ana mpenzi wake je? Kwa sasa inatakiwa kuomba nafasi kwa mhusika kwanza then barua inafuata
 
Muda muafaka ni asbh wakat huyo mhusika hajafanya shughuli yoyote ambayo itamfanya ichukue nafasi kubwa katika siku hiyo....lakini pia wakat muafaka ni ule ambao unajua wana mgogoro na mpenzi wake...
 
Kati ya asubuhi au mchana na jioni, maana nyakati zote zimeniwia ngumu asubuhi mtu ndio anaamka na mipandilio ya kazi pengine,mchana au jioni kazi zimemalizika ana uchovu, au jpili mtu katoka kanisani anatafakari masomo na mafundisho ntawezaje kumwambia nakaupenda! Nimekua cross way kwahilo sijui ni muda gani ufaao kuongea na mdada kwa minajili ya ndoa tuu si vinginevyo

Kama una namba yake ya simu omba appointment nae then mwaga mistari,meet her in a famous,solitary or calm place kv mlimani city,au any hotel/yard yenye nice gardens those greenish and et al flower colours are romantic they'll help your seduction,hide your fame ktk siku za mtongozano,let her know your marriage plan baadae not same day i.e. day 1.
 
Back
Top Bottom