Kuna hatari kubwa endapo Misri kuangukia mikononi mwa Muslim Brotherhood. Chama ambacho kitailetea maafa Misri kuliko maendeleo.
Maana hawa Muslim Brotherhood hawana tofauti na Hamas au Al-Qaeda, wanachojua ni kujilipua tu na kuwa na ''illusion'' kuwa ipo siku wataipiga Israeli na kuiangamiza.