Wikiliki
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 528
- 139
Wakati maandamano na vurugu za MAFARAO kutaka Rais Mubarak wa misri ajiuzulu,jioni hii kwa mara ya kwanza tangu awe raisi ameteua makamu wa rais ,Omar Suleiman na kumwapisha na kuanza kazi mara moja. Source ALJAZEERA LIVE. Ni mbinu ya kumwachia madaraka.