ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,685
Unajua siku ile kwenye zogo lao humu dhidi ya Zitto nilivyoona vijana wa Mtei Godbless J Lema Ben Saanane Joshua Nassari Mungi pamoja na Dr.W.Slaa kuhangaika kutoa like kwa wale wote wanaomukana Zitto huku freeman A Mbowe amekaa makao makuu anafuatilia mjadala nikajua huu ni mpango maalum kutoka kaskazini.
Huku na sisi tunachochea kuni kavu kwenye mafiga.
Mbowe ameshindwa kuongoza Chadema...
Last edited by a moderator: