Muangalia Mwanaume wa mkoani vs wa Dar

Muangalia Mwanaume wa mkoani vs wa Dar

...tutake radhi mkuu
LoL
Angalia wa mkoaa
24fa5fc998b4f3d3f08ef0e92962c1df.jpg
na huyu
bdfafd9f76fb744fe8d1e5d923eddb4c.jpg
 
Wanaogopa hada panya wa barabarani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mara ya kwanza kufika Dar iliniwia vigumu kujua mwanaume ni yupi na mwanamke ni yupi yaani wanafanana na dada zao kuanzia mavazi tembea kuongea kujipodoa nikamuuliza jamaa yangu akanijibu labda tuwaambie wavue nguo tuweze kuwatofautisha
Daah [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
najivunia kuwa Wa dar miaka milion mtuache na wanaume zetu na wake zetu wa dar miaka milion kuwa wa dar mkoani nyonyooo
 
Back
Top Bottom