Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,277
- 111,407
Yaani umeniwahi kidogo tu....[emoji5] [emoji5]Mmhhh!!!! Wewe ni Mwanamke au Mwanaume
Yaani umeniwahi kidogo tu....[emoji5] [emoji5]Mmhhh!!!! Wewe ni Mwanamke au Mwanaume
Huku mikoani hatuhangaiki na vyuma chakavu aiseeee....[emoji5]Sijawahi sikia wa mikoani kutoka na watoto wazuri kama akina wem hivi sijui nao sio wanaume .
Nyie si ndiyo wake zenu wanafuata wanaume Kenya[emoji12] [emoji12] [emoji12] ?Huku mikoani hatuhangaiki na vyuma chakavu aiseeee....[emoji5]
Hahaha usinigombanisheCc: Wa Mbeya njooni muone mnavyo fanyiwa huku jf....
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha mbavu zangu jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha usinigombanishe
Hahhahahahahah daaah ebwanaeeeee umenifanya nicheke kwanguvu usiku huuHamna lolote nyie wa mikoani mbwembwe tuu kazi yenu ni hii[emoji116] [emoji116] [emoji116]
View attachment 459893
Hapana mkuu nimewakuta hayo maeneoSio wa kwa bibi nyau hao!!?
Mbeya hayo sio mapozi yetu hayo mapozi ni ya wapiga picha maeneo ya kongowe na huko gongo LA mboto