Muangalia Mwanaume wa mkoani vs wa Dar

Muangalia Mwanaume wa mkoani vs wa Dar

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,454
Mwanaume wa mkoani

85e364fc4981f46fea99a54f87bc2be2.jpg


a399c30c29de9f888d9de2f93fac6df0.jpg



Mwanaume wa Darisalama[emoji116]

a81bf9fc16ab9c2110b5f12c7b8f9b32.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] chips mayai hizo
 
Daah, wanaume Daslaam ni burudani sana aisee!
Kukimbia nako hamuwezi, ngumi ndo hamna kabisa hadi mnakimbizwa na watoto wadogo wanaojita panya road!
Kuna mmoja alikuwa sebuleni na familia yake wanakula ghafla mijuzi wakikimbizani kwenye ukuta wakaangukia mezani mzee na wanae wakatawanyika mbio hadi uvunguni kujificha
 
Mara ya kwanza kufika Dar iliniwia vigumu kujua mwanaume ni yupi na mwanamke ni yupi yaani wanafanana na dada zao kuanzia mavazi tembea kuongea kujipodoa nikamuuliza jamaa yangu akanijibu labda tuwaambie wavue nguo tuweze kuwatofautisha
 
Wa Dar tuko busy na kazi hatuna Muda wa kupoteza kupigana ! Wa mkoani mvua zenyew hakuna wacha watafute cha kufanya
 
Back
Top Bottom