Sisi Wanatheolojia tuliobobea huwa tunafikia mahala tunawashauri watu wenye mtazamo kama wako kuwa "Wee amini tu kuwa Mungu yupo ili hata Asipokuwepo hutapata hasara kubwa, kuliko kuamini kuwa hayupo halafu mwisho wa siku ukakutana naye uso kwa uso".
Nyani Ngabu Je Umeomba kwa Mungu ili azuie hivyo vyote??
Mungu anahitaji umwambie na ndio maana anasema "Haya, leteni maneno yenu, asema Bwana; toeni hoja zenu zenye nguvu" Isaya 41:21
Nyani Ngabu Unatakiwa kuomba, kumkumbusha baadhi ya ahadi zake. Naye atakujibu sawasawa na haja ya moyo wako!!!
Yaani mimi binafsi nikimwomba ndo atazuia majanga na maafa? Na mungu gani huyo asiyekumbuka majuku yake? Kalewa ulanzi?
Yaani mimi binafsi nikimwomba ndo atazuia majanga na maafa? Na mungu gani huyo asiyekumbuka majuku yake? Kalewa ulanzi?
Sasa uanze kuhonga ee baba..umsahau mama ako na nduguzo ukeshe unaonga tu....nidhamu mkiwa na shida mkimaliza shida mnasahau.......isiwe ivyo
Sasa hayo ni mawazo mufilisi, kwahiyo wewe unataka kusema waliotangulia kwenye udongo wote ni kwa sababu Mungu kawaacha/kawatema? Hivi hujui kuwa Mungu Anaweza akaruhusu ulale mavumbini leo just because anakuepusha na mabaya ya kesho? Yaani kweli wewe unafurahia kuwa hai katika dunia hii? Hivi hujui kuwa sometimes kuwa hai ni kama uko jehanamu zaidi kuliko kuwa mfu? THINK BIG wewe!Mimi binafsi Mungu amenipigania kwa namna ya tofauti sana na amenitoa mbali mno, lazima nimshukuru kama si Yeye leo hii nisingekuwa hapa natype kwenye hii keyboard, yawezekana ningekuwa mbolea kwenye udongo siku nyingi sana
Najua ya kuwa wewe ni mbishi ila endelea kuamini uaminichoYaani mimi binafsi nikimwomba ndo atazuia majanga na maafa? Na mungu gani huyo asiyekumbuka majuku yake? Kalewa ulanzi?
Asante SJUMAA26 simuachi huyu Mungu wangu!Sasa hayo ni mawazo mufilisi, kwahiyo wewe unataka kusema waliotangulia kwenye udongo wote ni kwa sababu Mungu kawaacha/kawatema? Hivi hujui kuwa Mungu Anaweza akaruhusu ulale mavumbini leo just because anakuepusha na mabaya ya kesho? Yaani kweli wewe unafurahia kuwa hai katika dunia hii? Hivi hujui kuwa sometimes kuwa hai ni kama uko jehanamu zaidi kuliko kuwa mfu? THINK BIG wewe!
Ngoja aanze kazi sijui kama atajifungia tena chumbani kusali!!!
Sa nyingine nikikumbuka wakati nlivykuwa namlilia Mungu anitoe shimoni wakati sina inshu nikijiangalia na haya nnayoyafanya sasa huwa naogopa hata kufumba macho kusali aisee...MUNGU atusamehe bure na udhaifu wetu
Oooh my God...realy.?????
astaghafirulhaah!!Mungu hawezi kuzuia ajali za mabasi, mungu hawezi kuzuia mafisadi, mungu hawezi kuzuia meli zisipinduke na kuzama majini.....sasa mungu gani huyo awezaye kila jambo?
Uongo mtupu!
Najua ya kuwa wewe ni mbishi ila endelea kuamini uaminicho
Ila ukiwa na unamwamini Mungu waweza kafanya mambo makubwa sana popote utakapokuwepo. Samahani Nyani Ngabu mimi siwezi kubishana hiyo ndiyo hulka yangu.