Muamala wa Lowassa hatarini

Muamala wa Lowassa hatarini

CCM kwishaaaaaaaaaaaaaa

Lowassaaaaaa ndio chaguo letu...!!!
 
Huwezi kuununua uongozi hata siku moja utaishiwa tu na uongozi hupati
 
kuna mtangazaji mmoja TBC aliwahi kusoma magazeti asubuhi kwa.weledi mkubwa sana aisee
Naukumbuka ule wa kuruka vichwa vya habari zilizopewa kipaumbele, akawa anasoma zile ambazo hazikuwa za kiaumbele !!
 
Waandishi wetu wajifunze kufanya kazi kwa weledi. Kuhongwa hongwa kunawafanya wakumbatie mafisadi

Nilishangaa kuwa waandishi wa habari wamekuwa makundi ya ushabiki kwenye press conference.
Wanapiga makofi na kushangilia.
Nchi zilizoendelea unafutiwa kibali cha kazi.
Waandishi wa habari jirekebisheni.
 
Back
Top Bottom