Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,651
- 8,512
Wamehamasishaje yani....mbona wanatoa taarifa kwa kujibana bana......angenukuu na maneno walioyazungumza ili wananchi tuyachambue tujue uhalisia wa makosa yao........Mana mwingine akawa anakoromewa kabisa na askari kisa kaandika tatoo ya "i love u"
Mweeeehh!!!!
Mweeeehh!!!!