Mtwara na Lindi katika uamuzi mgumu

Mtwara na Lindi katika uamuzi mgumu

Wana Lindi na Mtwara wameshashtuka kuwa walikuwa wanachezewa na wanasiasa wa upinzani chini ya chama cha CUF. Kwa sasa wamerudi na wanafanya kazi kwa bidii wakisaidiwa na serikali yao tukufu ya CCM. Wapinzani safari hii hawana chao

Mimi kwa asilimia fulani nakubaliana na wewe kwa sababu mbinu mliyoitumia CCM ni kubwa ya kuweka mapingamizi yasiyo na ukweli ili mpite bla kupingwa.

Pia asilimia kubwa ya wananchi hawapo katika maeneo waliyojiandikisha kupiga kura kipindi kilichopita hivyo weni watashindwa kupiga kura.

Pia mbinu za wizi wa kura CCM ni mabingwa kama wanavyofanya UFISADI.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mdogo wangu Simiyu Yetu,mimi ni mtu jasiri sana. Siwezi kujificha nyuma ya ID bandia na kutoa mawazo yangu huru. Nawaona muda mrefu tu mnataka kujua nani yuko nyuma ya ID ya VUTA-NKUVUTE. Mimi yangu ni hii ya Petro E. Mselewa. Huyo ni kada wenu na mtajuana wenyewe. Kama wewe una ubavu wa kuwa huru,njoo jamvini na ID verified. Acheni kutapatapa na kunichafua. Chungeni sana vijana wa CCM

Mkuu umeeleza vizuri sana, na usijibishane na sisi wa Id bandia, Ngoja tukipata ujasiri tutakuwa verified mkuu.
 
Back
Top Bottom