Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,064
- 18,418
ACT hakuna nyumbu usiwe na wasiwasi , NYUMBU mko peke yenu Chadema.kwani nako ACT wako nyumbu ?
ACT hakuna nyumbu usiwe na wasiwasi , NYUMBU mko peke yenu Chadema.kwani nako ACT wako nyumbu ?
Kumbe mambo haya bado yapo...!Msimamizi wa uchaguzi mdogo kata ya chipuputa jimbo la Nanyumbu amekamatwa akiwa na kura feki Lakini jeshi la polisi limemlinda, na pia baada ya katibu wa ACT-WAZALENDO mkoa wa Mtwara kuhoji tukio hilo amekamatwa na jeshi la polisi kwa maagizo ya OCD wilaya.
Demokrasia iko wapi au tume huru iko wapi.
Ni nadra mtu au chama kilichokaa madarakani muda mrefu tena kwa shuruti kukubali kutoka madarakani kwa njia ya kura. Na majadiliano ya njia ya amani Ili kupata tume huru huwa ni hadaa ili kuwapoteza maboya wanaojifanya wanapenda amani. Machafuko tu ndio huleta tume huru na katiba za kweli baada ya Kila mtu kuzika, na kupata kilema Cha maisha. Kinyume na hapo ni kupotezeana muda.HAKUNA DEMOKRASIA WALA TUME HURU Chini ya CCM
The hard way is the truth. watz wanaziba masikio about this but one day watajua hakuna another wayHuwa nasema hiyo njia ya kura ni kupotezeana muda, nashangaa Bado Kuna watu wana imani na huo upuuzi. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi itakuwa ni kupotezeana muda.
Wanaoandamana walionekana wajinga labda sasa tutaanza kuwaelewaKinana si alihudhuria mkutano mkuu wa ACT , na kumwaga porojo , halafu ikawaje tena ?
Hawa jamaa bila kuiba kura hawatoboi , na hawajawahi kutoboa. Wenyewe wanajua kabisa bila kuiba hawawezi kushinda. Tuna safari ndefu sana ili kufikia kwenye lengo la hakiMzee Kikwete: Sina hofu ya CCM kushindwa na Upinzani Uchaguzi Mkuu labda kutokee mambo ya ajabu.
Kama hakuna hofu ya kushindwa . Kura feki zinapatikana vipi?
Na hup ni uchaguzi mdogo tu.
Mkuu wanaoshabikia upigaji kura ni hao hao magwiji wa wizi wa kura CCM na vibaraka wao.Na nadhani na mimi niseme wazi,mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kushiriki upigaji kura kwa mfumo wa uchaguzi uliopo. One would be an idiot to do that.Huwa nasema hiyo njia ya kura ni kupotezeana muda, nashangaa Bado Kuna watu wana imani na huo upuuzi. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi itakuwa ni kupotezeana muda.
Bwege weweWewe muuaji wa thadei Unatak picha yanin
Wizi siyo mzuri na unaondoa utu wa mtuACT kwa nini na wao hawaibi kura?
Kivipi! Nyie mtasusia?waliyataka enyewe
Halafu watumishi waki iba pesa za umma mna kuwa wakali, wakati nyie ndio mna wafundisha wiziMsimamizi wa uchaguzi mdogo kata ya chipuputa jimbo la Nanyumbu amekamatwa akiwa na kura feki Lakini jeshi la polisi limemlinda, na pia baada ya katibu wa ACT-WAZALENDO mkoa wa Mtwara kuhoji tukio hilo amekamatwa na jeshi la polisi kwa maagizo ya OCD wilaya.
Demokrasia iko wapi au tume huru iko wapi.
CCM na ACT Wazalendo wanaigiza Uchaguzi lao moja.Huwa nasema hiyo njia ya kura ni kupotezeana muda, nashangaa Bado Kuna watu wana imani na huo upuuzi. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi itakuwa ni kupotezeana muda.
jeshi la nzi🐒Huwa nasema hiyo njia ya kura ni kupotezeana muda, nashangaa Bado Kuna watu wana imani na huo upuuzi. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi itakuwa ni kupotezeana muda.
Hicho chama cha mbogamboga wamelaaniwa kwa uwizi toka kimeanzishwaMsimamizi wa uchaguzi mdogo kata ya chipuputa jimbo la Nanyumbu amekamatwa akiwa na kura feki Lakini jeshi la polisi limemlinda, na pia baada ya katibu wa ACT-WAZALENDO mkoa wa Mtwara kuhoji tukio hilo amekamatwa na jeshi la polisi kwa maagizo ya OCD wilaya.
Demokrasia iko wapi au tume huru iko wapi.
Yaani sijui mi ACT yamerogwa,kutwa kupumbazwa, hayashtukiKinana si alihudhuria mkutano mkuu wa ACT , na kumwaga porojo , halafu ikawaje tena ?
Halafu hao hao ACT wakamshangilia utadhani Yanga kamfunga Mamelod!Ndo kinana anaahidi uchaguzi huru na wa haki?