Polisi na TCRA wana kazi kwa kweli ,Ungesema kanda ya TiTi labda ningekuelewa
Sio lengo langu, kaka kujua sio kuzaliwa Dar, wala kuto jua hakukufanyi kuwa eti hukuzaliwa Dar, ila inategemeana shuhuli zako. uliko siko eti kukuonyesha ujuaji, tungekua tunazungunzia kijijini usingeandika hayo. twende kwenye hoja pamoja na kuzaliwa Kisutu je huduma nyingi za migahawa Kariakoo hazifungwi muda nilioutaja hapo juu ingawa sikuzaliwa Dar.
Dah..sasa povu la nini??...Mtaendelea kushika pembe tu...goma wanakula wengine.....peleka midogo yako shule bana...😎😎hoja hiyo ni mufilisi. Kwani Dar imejegwa na Wazaramo? Kwani Dodoma inavyokua inajengwa na Wagogo? Kinachozungumzwa ni kushine mji, bila kujali nani kafanya, ili mradi muingiliano wa watu unaleta tija kwa wenyeji. Kwa hiyo asilimia 50 ya mambo yaliyo Dar ni dada au kaka wa Kizaramo? Mawazo mufilisi kabisa.
Naona umepotoka. By the way Mungu katusaidia, shule tumeenda, kwa hilo namshukuru Mungu. Na kwa sababu hiyo hisia zako za uongo tunazikataa kwa mifano hai, na siyo wivu ulio nao. Ulitaka watu waendelee kuwa dhalili, lakini Mungu ni mwema kuna neema sana kuliko maeneo mengi.Dah..sasa povu la nini??...Mtaendelea kushika pembe tu...goma wanakula wengine.....peleka midogo yako shule bana...😎😎
WANATAPATAPA SASA KUONA ECONOMIC BOOM IKO KUSINI....Naona umepotoka. By the way Mungu katusaidia, shule tumeenda, kwa hilo namshukuru Mungu. Na kwa sababu hiyo hisia zako za uongo tunazikataa kwa mifano hai, na siyo wivu ulio nao. Ulitaka watu waendelee kuwa dhalili, lakini Mungu ni mwema kuna neema sana kuliko maeneo mengi.
Labda unaongelea maendeleo ya kuongeza wake kisa tu korosho imekubali! Mtabakia hapo hapo! Nendeni shule acheni hizi siasa za kudanganywa.. Mtatoa sana gesi ila watafaidi watu wenye akili zao, nendeni mkawaulize shinyanga wanatoa almasi tangu enzi za mkoloni ila wamepauka tu!Kwa jinsi hali ya mambo inavyobadilika naona wazi kabisa Miji ya Musini ndo itadrive uchumi wa Taifa letu. Kwa kasi ya ukuaji wa mji wa Mtwara nadhani ifikapo 2030 basi mikoa ile yenye kelele sana itakuwa imeachwa mbali sana.
Mtwara kuna vitu ambavyo nchi nyingi tajiri ndio hutumia hadi kufikia hapo walipo. WE CALL IT NEW ABU DHABI. Nimeona jinsi wawekezaji wanavyopishana kuwekeza mikoa ya kusini. It's our time to shine.![]()
![]()
![]()
Kuna mikoa inajiona hiyo ndio Tanzania lakini nataka kuwaambia kitu kuwa mambo yamebadilika na sasa hatutegemei kahawa na chai kuendesha nchi yetu.
Gesi ya Mtwara itaifanya Mtwara kukua ifikie japo Mkoa wa Mwanza..Kwa jinsi hali ya mambo inavyobadilika naona wazi kabisa Miji ya Musini ndo itadrive uchumi wa Taifa letu. Kwa kasi ya ukuaji wa mji wa Mtwara nadhani ifikapo 2030 basi mikoa ile yenye kelele sana itakuwa imeachwa mbali sana.
Mtwara kuna vitu ambavyo nchi nyingi tajiri ndio hutumia hadi kufikia hapo walipo. WE CALL IT NEW ABU DHABI. Nimeona jinsi wawekezaji wanavyopishana kuwekeza mikoa ya kusini. It's our time to shine.![]()
![]()
![]()
Kuna mikoa inajiona hiyo ndio Tanzania lakini nataka kuwaambia kitu kuwa mambo yamebadilika na sasa hatutegemei kahawa na chai kuendesha nchi yetu.
Nilijua unajivunia kua ges kumbe kutokea kusini, unafikiri watu kuwekeza kwenye ardhi yenu ndio kuijenga, yy anatafuta chake baadae anasepa nyie mnabaki na magofu, fanyen kaz achen kutegemea watu waje ndo muamke.WANATAPATAPA SASA KUONA ECONOMIC BOOM IKO KUSINI....
Ukweli ni kwamba TANZANIA KWA SASA DRIVING FORCE YAKE IKO KUSINI... GAS, OIL + URANIUM VYOTE VIKO KUSINI.. BEACH NZURI ZIPO KUSINI.. HATA MBUGA TUNAYO ILE YA SELOUS.. BANDARI YENYE KINA KIREFU CHA ASILI AFRIKA MASHARIKI NA KATI IPO KUSINI PIA... ARDHI NZURI YA KILIMO IPO PIA TEMBELEA SONGEA UJIONEE.. MADINI NENDA TUNDURU NA RUANGWA... NA KWA NAMNA YOYOTE TUNAENDA KUWA MOJA YA KATI MIJI MIZURI ZAIDI AFRICA KWA MIAKA KADHAA IJAYO...
NAJIVUNIA KUTOKEA KUSINI..
.... si gesi tu bali hata utafiti wa mafuta nayo ni kichecheo pia...!Gesi ya Mtwara itaifanya Mtwara kukua ifikie japo Mkoa wa Mwanza..