MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

Mkalibari

Daah wabongo kama kawaida yao wamevamia page ya Neyo
baada ya kupost july 18 atakua akipafomu kwenye
MTVawards 2015,kila comment anatajwa diamond.ha ha
ha Neyo atajuta.
 
Last edited by a moderator:
Daah wabongo kama kawaida yao wamevamia page ya Neyo baada ya kupost july 18 atakua akipafomu kwenye MTVawards 2015,kila comment anatajwa diamond.ha ha ha Neyo atajuta.

nimeshafanya yangu mbona ataomba collable mwenyewe
 
Hii ni nafasi ya kipekee kwa diamond akiweza kumpata Neyo kwenye collabo ya show..basi watakwenda kwenye collabo binafsi na rasmi ataanza collabo na wasanii wakubwa marekani kupitia Neyo!
Hii ni njia pekee ya Diamond kuanza kuiteka U.S.A...

Umeongea ukweli ambao wengi hawata ukubali,

Next step ya kijana Naseeb inaweza anzia hapo

Namuombea kheri sana mdogo wetu katika safar yake ya kupush mziki wetu na kuongeza kipato.
 
Diamond platnumz aka chibu dangote anazidi kung'ara kila kukicha kutokana na ubora anaouonyesha kwenye kazi yake na kuwa wakipekee sana barani hasa linapokuja suala la utumbuizaji..

Ukiachana na show ya road to mama ambapo diamond anatarajiwa kutoa burudani Nigeria 3, jully diamondplatnumz amezidi kupata shavu kwa kuchaguliwa kuwa ataperform pamoja na Neyo kwenye stage siku ya utoaji wa tuzo za Mtvmama2015... Na hii ni dhahiri kwamba moja ya tuzo anayogombea "best live" ni yake anasubiri tu kupewa..

Vipi wadau mnahisi patachafukaje sikuhiyo wanyama wawili hawa wakikutana??

Tusisahau pia kumtendea haki kijana

Waachen hao wanaompigia davido lkn tuhakikishe best live anachukuwa hakuna davido kule na naona kabisa dai anachukuwa hakuna wa kushindana nae . Msisau pia kumpigia vanessa na saut solo.
 
Hivi wadau mmeiona page ya davido ilivyovamiwa na wabongo leo baada ya kupost fans me imefikisha views milioni kwa siku kumi tu hahahahahaha nimewanyooshea mikono team wasafi hawafaiiiii davido ilibidi abadili akafuta tu hiyo siku kumi maana watu walikuwa wamekamia sio siku 10 ni 15 na kusema dangote kamnyoosha kwa siku 12 tu... daah kaka wa watu anashida
 
Huyu jamaaa ukishindana naye atakudharirisha, mimi huwa namuita bubu, yaani anaongea kwa vitendo tuuu
 
Hivi wadau mmeiona page ya davido ilivyovamiwa na wabongo leo baada ya kupost fans me imefikisha views milioni kwa siku kumi tu hahahahahaha nimewanyooshea mikono team wasafi hawafaiiiii davido ilibidi abadili akafuta tu hiyo siku kumi maana watu walikuwa wamekamia sio siku 10 ni 15 na kusema dangote kamnyoosha kwa siku 12 tu... daah kaka wa watu anashida

Haha kumbe mara ya kwanza aliandika cku 10 akafuta duh noma mana post yke niliyoiona kaandika in days alaf record breaker sasa cjui record ipi kavunja labda kwa video zake mwenyewe. Davido alitegemea hii vdeo ingeleta jam mtandaoni bt ya Chibu imetisha zaid.
 
Back
Top Bottom