MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

Daah wabongo kama kawaida yao wamevamia page ya Neyo
baada ya kupost july 18 atakua akipafomu kwenye
MTVawards 2015,kila comment anatajwa diamond.ha ha
ha Neyo atajuta.

Aisee wabongo ni watu wa ajabu sana kwenye social network, utakuta hapohapo wanaanza kutukanana kwa broken english kwa sababu ya hizi timu, wacha nivumilie kuwa mtanzania
 
Aisee wabongo ni watu wa ajabu sana kwenye social network, utakuta hapohapo wanaanza kutukanana kwa broken english kwa sababu ya hizi timu, wacha nivumilie kuwa mtanzania

Hahahaaaa....umelengaa pale pale.
 
Good move platnumz ila naskia keshafanya yake na Usher its just a matter of time wakiachie!!!!
 
Tofauti zinazidi kujizihirisha kati ya DIAMOND na kibakuli wakati kibakuli anatimuliwa kwenye mjengo wa watu, DIAMOND anazidi kupata mianya ya fedha
 
Daah wabongo kama kawaida yao wamevamia page ya Neyo
baada ya kupost july 18 atakua akipafomu kwenye
MTVawards 2015,kila comment anatajwa diamond.ha ha
ha Neyo atajuta.

Wabongo ni wajinga sana na kiigereza chao cha kuunga unga tunaonekana wapuuzi
 
Ha ha ha duuh, kuiteka marekan na kitorondo?

kwani kinachoshndkana ni nini kwa mfano? Be serious kijana huku USA hawakariri maisha brother wao huangalia nani kaja na style tofauti na radha tofauti, all they need is dfrnt radha, so wakivutiwa na kitoronto atawateka pia, and keep this in your mind frnd huku watu wanapnda zaid african style like that of diamond.
 
kwani kinachoshndkana ni nini kwa mfano? Be serious kijana huku USA hawakariri maisha brother wao huangalia nani kaja na style tofauti na radha tofauti, all they need is dfrnt radha, so wakivutiwa na kitoronto atawateka pia, and keep this in your mind frnd huku watu wanapnda zaid african style like that of diamond.

Huku wapi?kuwa realistic wewe, embu niambie african style ipi inayobamba huku, acha ushamba kila mahali wana tamaduni zao ndo maana ukiacha ujuaji mwingi ngoma za nje hata afrika hazibambi kama za ndani na maisha yao yote hawaezi kuteka soko la mziki wa huku afrika zaidi ya waafrika wenyewe, ndo maana diamond afrika anakubalika, na hata hao wanaomkubali nje ni waafrika 90%, take it from me afrika music for africans big tym, iwe diamond, davido, p-square na wengineo
 
Ha ha ha duuh, kuiteka marekan na kitorondo?

kwani kinachoshndkana ni nini kwa mfano? Be serious kijana huku USA hawakariri maisha brother wao huangalia nani kaja na style tofauti na radha tofauti, all they need is dfrnt radha, so wakivutiwa na kitoronto atawateka pia, and keep this in your mind frnd huku watu wanapnda zaid african style like that of diamond.
 
Mbona nyimbo za Spanish zinabamba kama bailando na zimefanyiwa collabo?tusipothubutu tutajuaje kama zitabamba go diamond go go it's yo tym
 
Hii ni nafasi ya kipekee kwa diamond akiweza kumpata Neyo kwenye collabo ya show..basi watakwenda kwenye collabo binafsi na rasmi ataanza collabo na wasanii wakubwa marekani kupitia Neyo!
Hii ni njia pekee ya Diamond kuanza kuiteka U.S.A...

Diamond hua hakosei

Kinachonisikitisha ni kwamba the next Diamonds girlfriend ni Rihanna ...I am feeling sad for Zari

Take my words
 
Back
Top Bottom