gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 12,959
- 15,886
Dish na antenna vitakuwepo mpaka kizazi cha 1980 kiondoke, najua kuangalia habari na entertainment kupitia simu,ila sifurahii kama kuangalia kupitia TV na kwa ujinga wa network,siwezi tegemea internet kuangalia arsenal na yangaInamaanisha content zitakuwa zinapatikana online through streaming and other means. Ndio maana kuna smart tv siku hizi. Mambo ya dish na antena yanaenda kufa.