MTV: Mwisho wa enzi

MTV is ending its dedicated music channels (like MTV Music, 80s, 90s, Live) by December 31, 2025, shifting focus to digital and reality programming as music consumption moves online, marking the close of a 44-year era of music television, though the main MTV channel and U.S. presence remain for now, evolving from music videos to entertainment.
 
Kwani BET na MTV bado walikuwa wanaonyesha music videos?

Nilishaacha kuangalia hizo chaneli zamani sana.

Hata subscription ya cable na satellite sina.
Sina uhakika sana na music videos ile non stop kama zamani
Hapa naangalia naona M for Music na programme line up kuna vipindi vingine kama series
BET huwa naangalia BET Awards tu ila huwa wanaweka movies na series za zamani na zaidi kutoka South Afrika
 
Kunaitwa kujivua gamba
 
What is the difference betwen music video and entertainment ? Is this not tautology..what I mean is music video is for entertainment! Nielimishe watu8.
 
Sijaelewa rafiki, yaani CNN iwe inapatikana kwenye simu? Meaning Tv zinaenda kufa?
Cable na satellite Tv yaani hizi kupitia ving’amuzi zinaelekea kufutika
Sasa hivi kila kitu online unalipia unangalia unachotaka
Au unaangalia kupitia Netflix, Prime au Apple TV apps kwenye mobile device
Kuna podcasts za vitabu na habari za CNN, BBC etc na zipo kwenye mobile device
Hilo li screen la 80’’ litabaki kuwa fenicha tu
 
Navuta hisia Kila napoandika VESI
napindisha mistari isije ikaleta KESI
ni vyema ujing'atue kama una mada NYEPESI
Kwani kashfa Kila kona zimetawala TETESI
Wana rap kufuata mada Kama shombo la FENESI
Vina vya kuunga unga vinanuka kama KINYESI
Zama ulingoni MC kama unataka BATTLE
Rap si kwasakwasa au Lingala ka LOKETO

Miziki na Mimi ni kama chanda na PETE
Na sasa nimeamua Sanaa kuisimamia KIDETE
Nawagema mnashabiki kama ulansi kwenye MTETE
Kisha natafakari kabla ya kusukuma KETE

Level yangu haufiKII
Niite Rhyno wa PC
Mashairi yangu yanajiuza kama hisa za TCC
Sipendi niwe mnyonge Kila mtu anikomaND
Sipendi ninenepe alafu niwe na KITAMBI

 

View: https://www.youtube.com/watch?v=_mjST7QDXss
 
Nope, umechanganya mambo. Paramount hainunuliwi na Neflix bali ilishauzwa kwa SkyDance Media. Netflix na Skydance Media wako kwenye vita kali ya kugombea kuinunua Warner Discovery ambayo ndio yenye hizo channels ulizozitaja hapo chini.
 
David Ellison will never do that.
 
Sijaelewa rafiki, yaani CNN iwe inapatikana kwenye simu? Meaning Tv zinaenda kufa?
Inamaanisha content zitakuwa zinapatikana online through streaming and other means. Ndio maana kuna smart tv siku hizi. Mambo ya dish na antena yanaenda kufa.
 
Angaliza, huyo Dr Dre wengi watajua ni yule Dr Dre na Snoop Dogg
 
Nope, umechanganya mambo. Paramount hainunuliwi na Neflix bali ilishauzwa kwa SkyDance Media. Netflix na Skydance Media wako kwenye vita kali ya kugombea kuinunua Warner Discovery ambayo ndio yenye hizo channels ulizozitaja hapo chini.
Offer ya Netflix kubwa na haihusishi media zingine kama CNN,wao wanataka Paramount tu vingine wawaachie pamoja na franchise za movies,ila trump na genge lake ndiyo wanataka inunua Warner brothers yote ikiwemo CNN Ili akomeshe viranga, maana haipendi CNN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…