idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
Mkuu, hicho kingine kinaitwa malaika wa shetani. It is true, ukianza kusoma hutotaka kuacha, ndo maana huwa sisomi kwenye daladala, lazima utapitishwa kituo tu, yaani lazima upende usipende
pamoja sana mkuu,joramu anavyomsoma ni kama unamuona live.