Mtunzi wa vitabu Joram Kiango

Mtunzi wa vitabu Joram Kiango

hebu angalia mchakato mzima wa kisheria mkuu,ili hiz movie zichezwe,itakuwa bomba sana na itabamba sana,pamoja na zile movie z willy gamba,inahitajika mapinduzi ya kweli kwenye movie zetu,sio kila siku kina james bond,Hiyo movie ya joram sijaiona bado mkuu
mKuu, kuna title moja ineshatolewa movie, ni kitambo lakini, kipindi bado yuko hai.
I, personally, ninatamani nitafsiri one of these series kwenda film, I live to believe that, kuna siku I will have my thirst quenched. The day will come, ambapo kila mtu atamuona the 21 years old Joram Kiango akifanya vitu vyake baada ya kupata uzoefu wa kutosha kwenye vikundi vya ujambazi, kisha Jeshi la Polisi kitengo cha Upelelezi (haya yote ni huko Marekani) kabla hajahamia Afrika, Tanzania, Dar es Salaam, kutafuta vis ambayvo anaweza kusuluhisha na kurejesha amani
 
Ben Mtobwa, mtunzi wa hadithi za mpelelezi Jorum Kiango hivi sasa ni Marehemu.
The best of Kiango series ni.
1. Malaika wa shetani
2. Salam kutoka kuzimu.
3. Tutarudi na roho zetu?

wazungu waliwahi kutafsiri hicho cha mwisho kwa kiingereza kikaitwa ZERO HOUR
 
Mnamkumbuka na Agoro Anduru na simulizi zake? hahahahaha

Umenikumbusha huyu mwandishi Agoro Anduru! Jina lake halisi ni Aggrey Andrew ila alitaka kuwa more African ndio akajiita Agoro Anduru.
Alitunga hadithi nyingi ila kuna kitabu kimoja kiliniacha hoi kwa hadithi zake tamu, kinaitwa "This is living and other stories!"
 
Mkuu unafikiri ni wasanii gani wa filamu wa hapa bongo wana sifa za kucheza movies za vitabu hivi?

Nitajie majina yao angalau wachache tu.
 
Dah..hawa watunzi.
Tumewapoteza.EDI GANZEL,BEN MTOBWA,A MUSIBA,HAMMIE RAJABU.
Walikua watunzi waukweli wa riwaya.

Hiyo ID yako Elungata inanikumbusha kitabu cha A E Musiba, Kikomo.
 
Last edited by a moderator:
mkuu nadhani bado hawapo,ila kama taratibu zote za kisheria zitafuatwa,watu hao waweza patikana pasi na shaka
Mkuu unafikiri ni wasanii gani wa filamu wa hapa bongo wana sifa za kucheza movies za vitabu hivi?

Nitajie majina yao angalau wachache tu.
 
ndiye huyu aliandika kitabu kiitwacho 'simu ya kifo'?

dah! mkuu sikufanikiwa kabisa kusoma hiki kitabu nilikisikia tu!

vitabu ambavyo siwezi kuvisahau vya enzi nikiwa primary school

hadithi ya allan quatermain na wenzake
mashimo ya mfalme suleiman
unyama wa mafia (part 1 hadi 4... mfano part two, mauaji ya kishenzi...)
mikononi mwa nunda
tutarudi na roho zetu
salam toka kuzim
njama (na vingine vyooote vya willy gamba kama hofu, mkataa pema, n.k)
salome masikini ( riwaya nzuri hata simkumbuki mtunzi )

nilipenda sana vitabu na enzi zile tulikua tunabadilishana vitabu kama tunavopeana muvies kali za siku hizi, at the end unajikuta umesoma vitabu viiiiingi sana!
 
Umenikumbusha huyu mwandishi Agoro Anduru! Jina lake halisi ni Aggrey Andrew ila alitaka kuwa more African ndio akajiita Agoro Anduru.
Alitunga hadithi nyingi ila kuna kitabu kimoja kiliniacha hoi kwa hadithi zake tamu, kinaitwa "This is living and other stories!"

hahaha mkuu Bullet precisely what i was referring to here, kitabu kizuri sana, kile tena sana
 
Mnamkumbuka na Agoro Anduru na simulizi zake? hahahahaha
Yap!

Huyu aliandika Temptation akizungumzia pia maisha yake yalivyokuwa na jinsi alivyokoswa mkuki na baba yake kwenye shamba la mahindi maana alikuwa kiziwi. Aaah! Yaani jamaa alikuwa anaandika bwana, ukikishika kitabu chake hutakaa ukiweke chini. Yaani nilipokuwa nakisoma kitabu hiki najiona kama niko Shirati/Rorya vile wakati hata sipajui. Pia aliandika kingine kinaitwa "Bed of Roses"

R.I.P Agoro Anduru!!!
 
joram alikuwa juu sana. Namfananisha na chase. Vitabu vyake havina mfano hadi sasa. Ni eddie ganzel (marehem) na yule wa willy gamba ndio waliweza kufananishwa kwa kiasi fulani
 
Ben R. Mtobwa alikuwa ni noma

Sent from my GT-N7100 using Tapatalk 2
 
Kwanza kabosa naomba mods mbadilishe title ya hii post ili iendane na jina halisi la my Kiswahili hero.
Namfagilia saaaaan Joram Kiango, penye harufu ya hatari yeye ndo anacheka. Kijana aliyekulia nchini Marekani na kupata mafunzo huko, kisha kuanzisha kampuni binafsi ya upelelezi.

Tafadhali nirusuni niwawekee picha, maana mi ni mshabiki mkubwa wa hizi series. Na nilisikitika sana niliposikia jaam Ben R. Mtobwa amefariki, anyway. Things come and go, seasons change and people as well.

View attachment 75270 Hiki ni political, na ni kizuri kinoma, enzi hizo za uchaguzi wa vyama vingi unapoingia, this guy amejitahidi kuelezea hivyo vyama na waassi wake, then blending it with fiction. Kuwa Kina Inspekta Kombora na jeshi lake wameshindwa kazi, mpaka alipoingia kijana mtanashanti, Joram

View attachment 75271 Arusha ndo imezungumzwa humu, Nharenaro, maasi yanapovuka kiwango na mwasichana flani kuuawa kinyama, muda uleule, sehemu ileile, na polisi aliyeenda kufanya upelelezi anauwawa kwa style ilele. Joram atafanikiwa?

View attachment 75272 Hapa Afrika ndo inaangazwa, hujuma zote wanazofanyiwa, dhuluma na kila kitu, ukombozi ndo njia pekee ya kutoka humo. lakini mashujaa kutoka nchi mbalimbali walipopelekwa, hakuna anayerudi hai, Joramanatazamwa na Ulimwengu mzima, ataweza?

View attachment 75273 Taarifa za kutoka kwenye kikao nyeti cha watu wazito sana na wenye hadhi mtaani na nyadhifa nzito maofisini, wanakubaliana kutofanya chochote mpaka wamuue kwanza Joram, kisa na mkasa?

View attachment 75274 Hapa tuko mwisho wa Reli, Kigomam, Joram alidhani amekwenda mapumzikoni kufaidi samaki wa Ziwa Tanganyika, haikuwa hivyo, abadala yake akajikuta uso kwa uso na mumbe wa mauti.

Nakala zingine kuna watu wamezimisplace, ila hizi copy nikazimisha popote pale ninapohamia. I love them books. Kama kuna mtu ana ambazo sijaweka hapa, tafadhali.

Kwa mara nyingine nasisitiza mods wabadili title ya post, inaniumiza roho kusema ukweli. weka jina sahihi, Joram Kiango, ama ukishindwa sema kabisa Harakati za Joram Kiango.


Mkuu umenikumbusha mbali, siku hizi mambo kama haya huwezi kuyaona kabisa. Kila ukienda sehemu ni shigongo tu.
 
guys! msiseme siku hz hakuna watunzi, have u tried someone called HUSEN TUWA believ me angalau mtafarijika
 
guys! msiseme siku hz hakuna watunzi, have u tried someone called HUSEN TUWA believ me angalau mtafarijika

Bado kuna huyu Kajubi Mukajanga...bado yupo hata SASA na vriwaya sake Mpenzi NAMBA 1&Mpenzi NAMBA 2....siwasahau hadi Leo wahusika wakuu akina Fadhili Magoma na Diana..yaani utunzi ule ilikuwa unateka hisia ZA msomaji hadi basi....
 
Kulikuwa na vitabu kama KAMLETE AKIKATAA MLIPUE,SIJANYONGWA,SANDA YA JAMBAZI, FUNGUO ZA SIRI, AMA ZANGU AMA ZAKE, KIFO MKONONI,. Vitabu hivi ama kwa hakika vilikuwa vitamu,kama vile unaangalia movi kwenye 3D. Watunzi walikuwa makini sana,na kama mtu ulikuwa unajifunza karate,ulikuwa unajikuta kama unapatwa midadi kibaoo.
 
Joram Kiango anamtumia kama 'Stelingi' kwenye simulizi zake..akiziita harakati za joram Kiango labda nikukumbushe kidogo baadhi ya kazi zake,

>Najisikia kuua tena.
>Tutarudi na roho zetu?
nyingine ni(1) salamu kutoka kuzimu na(02) lazma ufe joram. ni vitabu vizuri kweli.
 
Back
Top Bottom