Mtunza bustani ashtakiwa kwa kumtusi Magufuli, kwamba anaendesha nchi kinyume na maumbile

Mpaka watunza bustani watu wa hali ya chini kabisa ambao mkuu anasema ndo anawatetea wanaanza wanatukana basi kuna tatizo tena kubwa sn, zinahitajika juhudi mahususi kulinusuru taifa. Mimi nilitegemea wanaotumbuliwa ndo waporomoshe mitusi, ila matusi hayasaidii cha msingi watz tuungane tupambane ili haki ionekane kutendeka
MTUNZA BUSTANI HAKUPASWA KUTUKANA KABISA KUTOA LUGHA ZA MATUSI KWA MUJIBU WA KATIBA YA TANZANIA NI JINAI
 
Mtunza bustani jijini Dar es Salaam amefikishwa kizimbani jana kwa tuhuma za kumtusi rais Magufuli na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu.

Taarifa zinaripoti kuwa akiwa maeneo ya Leaders club mtunza bustani huyo aliwatusi rais na makamu wake kwa kuwatuhumu kwamba wanaongoza nchi kinyume na maumbile

My Take:

Jamani tujizuie kumtusi kiongozi wetu, lakini pia kamata kamata ya polisi inawatia hamu watu kuzidi kutukana. Maana toka watu waanze kukamatwa matusi mapya ndio kwanza yanazidi
Huyo ni Magufuli. Sio Rais wetu.
Rais lazima aiheshimu katiba. Huyu ni kituko tu.
 
Kuendesha nchi kinyume na maumbile.
Hajaeleza maumbile ya nini maana kuna maumbile gari,grader,meli,ngalawa na vyombo vingine vinavyoendeshwa.
Hapa watatafsiri vipi ili kupata tusi litakalompeleka jela?
Kweli kabisa. Maana kuendesha gari 'REVERSE' Dar to Songea ni kinyume na maumbile. Gari haijaundwa kuendeshwa umbali mrefu likiwa linarudi nyuma. Unless otherwise liwe linavutwa
 
Mh. Rais Magufuli aNAHESHIMU SANA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,, unaposema Rais aheshimu katiba REFERENCE YAKO NI NINI?? LIN Rais Magufuli AMEENDA KINYUME NA KATIBA???
 
usipende VIONGOZI WA NCHI KUTUKANWA,, Viongozi wa Nchi WANAHESHIMA ZAO,,mtu ALIYESTARABIKA HAWEZI AKATOA LUGHA ZA MATUSI
 
WW unaelewa nini kuhusu kinyume na maumbile???
Kuendesha au kufanya jambo au kutumia kitu tofauti na kilivyoumbwa au kilivyokusudiwa... kwa mfano, ukiweza kula chakula kwa kutumia pua, au kuendesha gari reverse Dar to Mbeya, kupeleka gari hospitali kutibiwa badala ya gereji, kuulizia nyama saluni badala ya buchani, kufua nguo kwa kutumia vumbi badala ya maji na sabuni..etc etc
 
kwani RAIS MAGUFULI AHESHIMU KATIBA?? acha maneno ya uchochezi na chuki katika jamii
Yapi? Na usikwepe maswali. Mkiulizwa mnatumia sheria au mamraka gani mnapwepa. Mapema umesema "matusi ni kosa la jibai kulingana na katiba" katiba ipi na ibara ya ngapi?
Nimpinga Magufuli ukasema ni uchochezi, ni sheria ipi ulotumia?
 
Back
Top Bottom