Sijakuuliza nimekujibu angalia comment vizuriSina majibu ua swali lako ndugu
Tembo anatumia nguvu zake zote kupambana na kichanga cha ngedele ambacho hata kikimkanyaga wala hakina madhara yoyote kwake.Mtunza bustani jijini Dar es Salaam amefikishwa kizimbani jana kwa tuhuma za kumtusi rais Magufuli na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu.
Taarifa zinaripoti kuwa akiwa maeneo ya Leaders club mtunza bustani huyo aliwatusi rais na makamu wake kwa kuwatuhumu kwamba wanaongoza nchi kinyume na maumbile
My Take:
Jamani tujizuie kumtusi kiongozi wetu, lakini pia kamata kamata ya polisi inawatia hamu watu kuzidi kutukana. Maana toka watu waanze kukamatwa matusi mapya ndio kwanza yanazidi
Kwa kamusi ileile inayosema kuendesha nchi kinyume na maumbile ni tusi ndiyo inayosema mikutano ya siasa ni tusi.Inawezekana kwa kamusi yako
Mtunza bustani jijini Dar es Salaam amefikishwa kizimbani jana kwa tuhuma za kumtusi rais Magufuli na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu.
Taarifa zinaripoti kuwa akiwa maeneo ya Leaders club mtunza bustani huyo aliwatusi rais na makamu wake kwa kuwatuhumu kwamba wanaongoza nchi kinyume na maumbile
My Take:
Jamani tujizuie kumtusi kiongozi wetu, lakini pia kamata kamata ya polisi inawatia hamu watu kuzidi kutukana. Maana toka watu waanze kukamatwa matusi mapya ndio kwanza yanazidi
Ndio maana nimesema inawezekana kwa mujibu wa kamusi yako ile ileKwa kamusi ileile inayosema kuendesha nchi kinyume na maumbile ni tusi ndiyo inayosema mikutano ya siasa ni tusi.
Maumbile ya nchi ni yapi? Ufisadi? Uzembe? Ulalamishi au?Mtunza bustani jijini Dar es Salaam amefikishwa kizimbani jana kwa tuhuma za kumtusi rais Magufuli na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu.
Taarifa zinaripoti kuwa akiwa maeneo ya Leaders club mtunza bustani huyo aliwatusi rais na makamu wake kwa kuwatuhumu kwamba wanaongoza nchi kinyume na maumbile
My Take:
Jamani tujizuie kumtusi kiongozi wetu, lakini pia kamata kamata ya polisi inawatia hamu watu kuzidi kutukana. Maana toka watu waanze kukamatwa matusi mapya ndio kwanza yanazidi
Mbona hakuna tusi apoMtunza bustani jijini Dar es Salaam amefikishwa kizimbani jana kwa tuhuma za kumtusi rais Magufuli na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu.
Taarifa zinaripoti kuwa akiwa maeneo ya Leaders club mtunza bustani huyo aliwatusi rais na makamu wake kwa kuwatuhumu kwamba wanaongoza nchi kinyume na maumbile
My Take:
Jamani tujizuie kumtusi kiongozi wetu, lakini pia kamata kamata ya polisi inawatia hamu watu kuzidi kutukana. Maana toka watu waanze kukamatwa matusi mapya ndio kwanza yanazidi
Sio kwa dunia ya sasaHuo nimekupa mfano hai Lazima uelewa kwanza kiongoz yyt huteuliwa na Mungu hata kama kaingia kwa mapinduzi ya kijeshi
yy ndo ana haki ya matusiIkisemwa ANATUKANA watu, ninyi mnasema ANANUKULIWA VIBAYA, raia nao wakifunguka mnapovuka eti WANAMTUKANA!
Lazima umtetee wajina wakoHivi una akili kweli wewe,au ili mradi kila uzi uchangie??
"Who he laughs last, laughs most"umetumia kipimo gani kujua kama wewe umecheka zaidi yake