Mara ya mwisho utumishi niliwauliza swali kuhusu hiyo kituo...wakanijibu hivi;
Ikitokea MTU aliyeko kazini mathalani kitengo cha grade II, alafu ikatokea taasisi nyingine imetangaza nafasi ya grade II, huyo. Mtu akaiomba...haitatokea tukamuita aje interview na hata ikitokea bahati mbaya akaitwa basi atatolewa automatically Kwenye replacement. Wanataka aombe kazi ambayo ipo juu ya ile anayoifanya kwa wakati huo na sio kuomba nafasi ya muundo uleule aliopo wakati huo.
Sijajua km walijibu ni kweli wanafanyaga hivyo ama wanaishiaga kutoa majibu mepesi tu!!
Umejibu[/QUOTE]Umejibu vyema karibukwetu, ila swali langu lilikuwa na pande zote mbili, kwamba mimi ni muajiriwa na nikaona tangazo la kazi na nina sifa nikaapply, lkn sikuitwa kwa interview. Na linidhani niko sahihi kwani kwenye kila matangazo yao wanasema current employees from govt institutions should rout their applications to their specific to their specific employers and I've been doing the same but where, so nikataka kujua km kuna wenzangu ambao wamechukuliwa kwa mfumo huu, other wise hawa"karibukwetusingida, post: 24835114, member: 213882"]Kaka na dada zangu mtu pekee anaepaswa kuomba kazi ni yule mwenye entry qualifications, siyo eti una degree ya uhasibu unafanya kazi halmashauri ya kiomboi halafu kazi zitoke sumatra au tra afu uombe huez kuitwa kwa sasa na haliruhusiwi kwa sababu wanaoratibu hizo ajira zote ni utumishi,ila km unafanya kazi halmashauri X uliajiriwa na diploma zen wakatangaza kazi utumishi wanahitaji watu Sumatra wenye degree za uhasibu na ww ukawa umejiendeleza na ukapata degree unaruhusiwa kuomba kwa kupitisha barua yako kwa mwajiri wako,anachotaka kukitoa mtoa mada ni kuhama kutoka idara moja kwenda nyingine huo tunaita uhamisho.
Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingiliaUmejibu
ww hapa unazungumzia kubadili muudo wa utumishi,hyo inaruhusiwa mtu alikua mwalimu akasomea mambo ya misitu anatuhusiwa kuomba kazi za utumishi sababu walimu hawaajiriwi kupitia utumishi wanaajiriwa kupitia wizara ya elimu kwa kushirikiana na wizara ya tamisemi.Kaka ni labda tu hawakuiti interview, lakini Nina watu hawajapitisha barua kwa mwajiri,,wameaply wakapata,,na sasa wako sehemu tofauti,wote walikua walimu sasa ni afsa misitu,,ila tu wakishapata ajira mpya,, kuna barua wanapeleka kusaini utumishi basi,, na hamna longolongo
ww hapa unazungumzia kubadili muudo wa utumishi,hyo inaruhusiwa mtu alikua mwalimu akasomea mambo ya misitu anatuhusiwa kuomba kazi za utumishi sababu walimu hawaajiriwi kupitia utumishi wanaajiriwa kupitia wizara ya elimu kwa kushirikiana na wizara ya tamisemi.
Maktaba mkuu Posta mpya kwa mbele au nyuma inategemea na unatokea wapi check hii MAPMwenye kujua office za utumishi anielekeze ambapo usaili utafanyika trh 21
Huu ni uongo. Hizi system mnazisingizia sana. Ukiacha kazi unaajirika tena vizr sanaKama ulikuwa umesomea kitu fulani ukaenda kusomea kingine usiombe tena kazi upya maana mwanzoni ulipoajiriwa ulingiizwa kwenye system...mtandao hivyo wakiingiza jina lako unaonekana tayari una ajira cha kufanya unaandika barua utumishi makao makuu kwa katibu mkuu kuomba akubadilishie eneo la kazi kwa kuambatanisha vyeti husika na barua hiyo ipitishwe na mwajiri wako kule unakotaka kwenda kukiwa na nafasi watakupa
Pia sasa hivi ukiacha kazi huwezi kuja kuajiriwa tena kwani kwenye system inatema wewe ulishaajiriwa
Kwamba walimu si watumishi eti?ww hapa unazungumzia kubadili muudo wa utumishi,hyo inaruhusiwa mtu alikua mwalimu akasomea mambo ya misitu anatuhusiwa kuomba kazi za utumishi sababu walimu hawaajiriwi kupitia utumishi wanaajiriwa kupitia wizara ya elimu kwa kushirikiana na wizara ya tamisemi.
Acha wivu ,Ndo ujiulize sasa kwanin unapigwa chini ila wasio na kazi wanaitwa...