Mtumishi Serikalini kuomba ajira nyingine PSRS

Spalulu

JF-Expert Member
May 5, 2013
283
146
Habari zenu wakuu,

Naomba kupata ufafanuzi, hivi watu wa PSRS wanaajiri watumishi wako makazini tayari? Maana katika matangazo yao wanaandika watumishi waloajiriwa Serikali wapitishe maombi yao kwa waajiri wao.

Nimefanya hivyo mara kadhaa lakini sijawahi itwa kwa interview hata mara moja. Sasa ndo nauliza km yupo aloajiriwa kwa mfumo huu, au ni viini macho? Jambo jingine nauliza pia wenye fununu au taarifa ni lini Utumishi wataidhinisha watumishi kuhama idara?

Mfano idara ya elimu kwenda idara ya mahakama nk.
 
Hahahaaaa pole Mkuu nami nilijiendeleza nilitafuta green pastures. Na wao kwa nini waseme tulo makazini tunachannel applications zetu kwa waajiri wetu? Hapa inabidi tuongeze urefu wa kamba ili tule green grasses
 
Huwa unapitisha kwa mwajiri wako?
Kama unapitisha basi kuna mahali unakosea. Nitafute pm nikusaidie kwa ushauri ila inabidi unipe kapesa kidogo maana nimekoma kusaidia watu bure.
Wengi ukiwatatulia shida yao tu hata salamu zao huzipati.
 
Kazi zipo ila tatizo uwezo wa vijana ni mbovu. Kuhama pia tayari utumishi wanahamisha ila sasa hivi wanasema hakikikisha umepata nafasi uwendapo
 
Tatizo sifa zako sio shindanishi ( competitive) ukilinganisha na wenzio pia kuumbuka kupitisha Barua kwa mwajiri wako kuwa unaomba Taasisi nyingine inakupunguzia Thamani kwa current Employer wako kwa kuwa anatambua uko mguu ndani mguu nje hata Kama alikuwa na long plan na Wewe anaanza ku re think
 
Huwa unapitisha kwa mwajiri wako?
Kama unapitisha basi kuna mahali unakosea. Nitafute pm nikusaidie kwa ushauri ila inabidi unipe kapesa kidogo maana nimekoma kusaidia watu bure.
Wengi ukiwatatulia shida yao tu hata salamu zao huzipati.
 
Kaka na dada zangu mtu pekee anaepaswa kuomba kazi ni yule mwenye entry qualifications, siyo eti una degree ya uhasibu unafanya kazi halmashauri ya kiomboi halafu kazi zitoke sumatra au tra afu uombe huez kuitwa kwa sasa na haliruhusiwi kwa sababu wanaoratibu hizo ajira zote ni utumishi,ila km unafanya kazi halmashauri X uliajiriwa na diploma zen wakatangaza kazi utumishi wanahitaji watu Sumatra wenye degree za uhasibu na ww ukawa umejiendeleza na ukapata degree unaruhusiwa kuomba kwa kupitisha barua yako kwa mwajiri wako,anachotaka kukitoa mtoa mada ni kuhama kutoka idara moja kwenda nyingine huo tunaita uhamisho.
 
Huwa unapitisha kshida mwajiri wako?
Kama unapitisha basi kuna mahali unakosea. Nitafute pm nikusaidie kwa ushauri ila inabidi unipe kapesa kidogo maana nimekoma kusaidia watu bure.
Wengi ukiwatatulia shida yao tu hata salamu zao huzipati.
Huwa napitisha ndiyo, katika tatu nilizoomba mbili zilipitishwa bila shida, ila ya tatu sikupitisha kwa kuwa nilikuwa nakimbizana na deadline. Ila sijaitwa hata moja
Kaka na dada zangu mtu pekee anaepaswa kuomba kazi ni yule mwenye entry qualifications, siyo eti una degree ya uhasibu unafanya kazi halmashauri ya kiomboi halafu kazi zitoke sumatra au tra afu uombe huez kuitwa kwa sasa na haliruhusiwi kwa sababu wanaoratibu hizo ajira zote ni utumishi,ila km unafanya kazi halmashauri X uliajiriwa na diploma zen wakatangaza kazi utumishi wanahitaji watu Sumatra wenye degree za uhasibu na ww ukawa umejiendeleza na ukapata degree unaruhusiwa kuomba kwa kupitisha barua yako kwa mwajiri wako,anachotaka kukitoa mtoa mada ni kuhama kutoka idara moja kwenda nyingine huo tunaita uhamisho.
 
Habari zenu wakuu, naomba kupata ufafanuzi, hivi watu wa psrs wanaajiri watumishi wako makazini tayari? Maana katika matangazo yao wanaandika watumishi waloajiriwa serikali wapitishe maombi yao kwa waajiri wao. Nimefanya hivo mara kadhaa lkn sijawahi itwa kwa interview hata mara moja. Sasa ndo nauliza km yupo aloajiriwa kwa mfumo huu, au ni viini macho? Jambo jingine nauliza pia wenye fununu au taarifa ni lini Utumishi wataidhinisha watumishi kuhama idara? Mfano idara ya elimu kwenda idara ya mahakama nk.
Huoni hata aibu mkuu, yaani una kazi alafu unaomba tena kazi? Wadogo zako ambao wako mtaani huoni kama unawazibia nafasi??
 
Umejibu vyema karibukwetu, ila swali langu lilikuwa na pande zote mbili, kwamba mimi ni muajiriwa na nikaona tangazo la kazi na nina sifa nikaapply, lkn sikuitwa kwa interview. Na linidhani niko sahihi kwani kwenye kila matangazo yao wanasema current employees from govt institutions should rout their applications to their specific to their specific employers and I've been doing the same but where, so nikataka kujua km kuna wenzangu ambao wamechukuliwa kwa mfumo huu, other wise hawa"karibukwetusingida, post: 24835114, member: 213882"]Kaka na dada zangu mtu pekee anaepaswa kuomba kazi ni yule mwenye entry qualifications, siyo eti una degree ya uhasibu unafanya kazi halmashauri ya kiomboi halafu kazi zitoke sumatra au tra afu uombe huez kuitwa kwa sasa na haliruhusiwi kwa sababu wanaoratibu hizo ajira zote ni utumishi,ila km unafanya kazi halmashauri X uliajiriwa na diploma zen wakatangaza kazi utumishi wanahitaji watu Sumatra wenye degree za uhasibu na ww ukawa umejiendeleza na ukapata degree unaruhusiwa kuomba kwa kupitisha barua yako kwa mwajiri wako,anachotaka kukitoa mtoa mada ni kuhama kutoka idara moja kwenda nyingine huo tunaita uhamisho.[/QUOTE]
Umejibu
 
Huoni hata aibu mkuu, yaani una kazi alafu unaomba tena kazi? Wadogo zako ambao wako mtaani huoni kama unawazibia nafasi??
Yaani sioni aibu mkuu kwa sababu gani, PSRS wametoa idhini ya mimi kufanya hivo, sasa km nna sifa kwa nini nisiombe?
 
Nimekosoma Mkuu, uko sahihi, ila nilikuwa na maswali mawili ktk hilo na umeyajibu vyema. Sasa nisubiri tangazo la kibali kuhama idara au inakuwaje?
Kaka na dada zangu mtu pekee anaepaswa kuomba kazi ni yule mwenye entry qualifications, siyo eti una degree ya uhasibu unafanya kazi halmashauri ya kiomboi halafu kazi zitoke sumatra au tra afu uombe huez kuitwa kwa sasa na haliruhusiwi kwa sababu wanaoratibu hizo ajira zote ni utumishi,ila km unafanya kazi halmashauri X uliajiriwa na diploma zen wakatangaza kazi utumishi wanahitaji watu Sumatra wenye degree za uhasibu na ww ukawa umejiendeleza na ukapata degree unaruhusiwa kuomba kwa kupitisha barua yako kwa mwajiri wako,anachotaka kukitoa mtoa mada ni kuhama kutoka idara moja kwenda nyingine huo tunaita uhamisho.
 
Wao ndo wenye makosa na si mimi. I did according to what they announced. Sioni tatizo langu kabisa hapo
Ndio unaweza ukawa huna tatizo ila jiongeze... Kwanin wewe mwenye kazi huitwi alafu wasio na kazi wanaitwa....(jijibu mwenyewe)...
 
Mara ya mwisho utumishi niliwauliza swali kuhusu hiyo kituo...wakanijibu hivi;
Ikitokea MTU aliyeko kazini mathalani kitengo cha grade II, alafu ikatokea taasisi nyingine imetangaza nafasi ya grade II, huyo. Mtu akaiomba...haitatokea tukamuita aje interview na hata ikitokea bahati mbaya akaitwa basi atatolewa automatically Kwenye replacement. Wanataka aombe kazi ambayo ipo juu ya ile anayoifanya kwa wakati huo na sio kuomba nafasi ya muundo uleule aliopo wakati huo.

Sijajua km walijibu ni kweli wanafanyaga hivyo ama wanaishiaga kutoa majibu mepesi tu!!
 
Upepo post: 24837330 said:
Ndio unaweza ukawa huna tatizo ila jiongeze... Kwanin wewe mwenye kazi huitwi alafu wasio na kazi wanaitwa....(jijibu mwenyewe)...
Haya ntajijibu nikipata jibu
 
Back
Top Bottom